Ni mijitu ndio sasa kama ni mtu mwenye akili timamu kakuacha then yeye huyo mwenyewe anakurudia ni mtu huyo!??kama sio lijitu ni kitu gani sasa??Basi pungu absolutely punguwani..Hapa ndipo nafika nawahsangaa nyinyi wanawake, hivi unaweza je kumuita mtu änekufukunuwa "mijitu"
mumu punguza hasiraNi mijitu ndio sasa kama ni mtu mwenye akili timamu kakuacha then yeye huyo mwenyewe anakurudia ni mtu huyo!??kama sio lijitu ni kitu gani sasa??Basi pungu absolutely punguwani..
Makufuli nishapiga kote na funguo kutupa kabisaNa wewe kwanini umpokee ??? Muache undezi akiondoka piga makufuri kote.
Whatevermumu punguza hasira
kama umelikubali hilo lijitu, wewe tukuiteje? gujitu?
Damn...
Nilikuwa sijakutaarifu, nimeziokota hizo funguo
Umenikumbusha mbali sana. kuna sehemu tulikuwa tunafanya kazi, yaani tulikuwa tunaishi ki jamii. sasa ikitokea umepiga mtu chini asubuhi, yaani haichukui round mda wa lunch anakuja na replacement. jajjajjaUkisema wa nini wenzio wnakuvzia tu uachie ss ukiachia unaona wenzio wnafaid unaanza usumbfu for sure mm cntakpokea daima........
Sent using Jamii Forums mobile app
your so wiseInategemea kisa na mapenzi yenu yalikuwaje, kuna visa vingine vinakufika ukiona tu jina una delete wala huna haja ya kufuta jina lake kwenye simu ili akipiga ujue ni nani amepiga, ataacha missed calls 200 wala hushtuki.