Kiarabu zaidi... Basi sawa....!!!Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe)
kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru!
Sahihi mtu anapokwambia *shukran* umjibu kwa maneno mawili haya: *hubban wakarama*(kwa mapenzi na karama)
hakuna katika Lugha ya kiarabu (safi) neno afwan baada ya shukran..
hili ni kosa lililoenea kwa watu wengi, na kutengenea kwa mambo ni kutengeneza ndimi
Sijamuelewa na nimemshangaa..Kiarabu zaidi... Basi sawa....!!!
Sijamuelewa na nimemshangaa..
Wapi mtu akisema "shukran" akajibiwa hiyo "atwan(nimekusamehe)" sijawahi kusikia.
Yani eti; Shukran kwa salaam, alafu unajibu Nimekusamehe....
Hebu ondoka hapa tz, peleka hicho kiswahili chako mbofumbofu huko huko ulikokitoa
Hiki ni kiswahili zaidiLakini mojawapo ya sifa za lugha ni kukua, sasa kama tutabana haitopanuka n'a kukua .... ahsante
Jee nikisema Shukraan Jazeelan...?Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe)
kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru!
Sahihi mtu anapokwambia *shukran* umjibu kwa maneno mawili haya: *hubban wakarama*(kwa mapenzi na karama)
hakuna katika Lugha ya kiarabu (safi) neno afwan baada ya shukran..
hili ni kosa lililoenea kwa watu wengi, na kutengenea kwa mambo ni kutengeneza ndimi
Unatakiwa kusema, Allahu Akbar!Jee nikisema Shukraan Jazeelan...?
au JazzakaAllahu kheyrn?
Nikisema Allahuma'AaminUnatakiwa kusema, Allahu Akbar!
Kosa !! Plz na tafadhwal vuta pumzi kdg. Ujifunze lughs hi adhimu na ya kifakhari.... BarakaAllahfikUnatakiwa kusema, Allahu Akbar!
Hapa sijui umenena kwa lugha hata sikuelewiNukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe)
kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru!
Sahihi mtu anapokwambia *shukran* umjibu kwa maneno mawili haya: *hubban wakarama*(kwa mapenzi na karama)
hakuna katika Lugha ya kiarabu (safi) neno afwan baada ya shukran..
hili ni kosa lililoenea kwa watu wengi, na kutengenea kwa mambo ni kutengeneza ndimi
Ukisema hivo ndiyo umeitikia Dua'a !! ( Waeyak )Nikisema Allahuma'Aamin
Bila shaka mtu alikuambia hivi. Sioni kuna lazima. Kati ya Waarabu (maarifa yangu Syria, Lebanoni, Misri) nikisema SHUKRAN wengi wao hujibu "AFWAN". Wengine husema "AHLAN" (=karibu!). Hubban wakarama sijasikia, lkn bila shaka pale huyu alyekuambia iko. Ila tu usijaribu kuweka hapa sheria kuhusu lugha.Nukta muhimu ya lugha: ukiambiwa *shukran* ni makosa kurudisha neno *afwan*(nimekusamehe)
kwani hayaendani; kwamba vipi unasamehe anayekushukuru!
Sahihi mtu anapokwambia *shukran* umjibu kwa maneno mawili haya: *hubban wakarama*(kwa mapenzi na karama)
hakuna katika Lugha ya kiarabu (safi) neno afwan baada ya shukran..
hili ni kosa lililoenea kwa watu wengi, na kutengenea kwa mambo ni kutengeneza ndimi
Tatizo Nyerere alitaka Tanzania Lugha ya kiswahili itumeke kama Lugha ya taifa, ili aweze kiutawala zanzibar vizuri.Kiarabu zaidi... Basi sawa....!!!
Mbona pia Kiswahili kina maneno mengi ya Kibantu, hakuna sehemu inayotakiwa kujibebea umiliki wa lugha hii.Tatizo Nyerere alitaka Tanzania Lugha ya kiswahili itumeke kama Lugha ya taifa, ili aweze kiutawala zanzibar vizuri.
Zanzibar Ndio ilikuwa kitovu cha Lugha hii, na history ya Lugha hii, Lugha ya kiswahili ina maneno mengi ya kiarabu, kihindi, English etc..
Mkubali tu kufunzwa kiswahili..