kadefeghe
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 446
- 629
Oh wadauu hoyeee? Wazeee wa simbaa kamili. Wenzang wa simba nadhan kuna vitu inabdi tuachanee navyo kubishana na kulee? Mfanow kujaza uwanja. Hii simbaa hata uwanja uwe na capacity ya laki 3 tutajazaa! Anyway, wadau hivi ni kazi ni kazi gani unatamani kufanya? Au ukipigwa chini utaifanya?
Mimi nimeajiriwaa ila natamani sana kuendesha malori... Ile presence ya kua peke ako makilometres na kutojichanganya na watu... Ndio vitu nazipendagaa sana... konyagi oyeeeeee.
Mimi nimeajiriwaa ila natamani sana kuendesha malori... Ile presence ya kua peke ako makilometres na kutojichanganya na watu... Ndio vitu nazipendagaa sana... konyagi oyeeeeee.