Ukiacha issue za upangaji matokeo

Kama ni kweli inasikitisha sana.
 
Cheki kwanza na Ali Kamwe na Privadinho sidhani kama wako salama
 
Sio tanzania tu iyo ishu ipo duniani kote hasa timu za vijana na watoto !!! Iyo kadhia ishawahi mkuta dele ally mchezaji wa zamani wa england
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…