UKAWA wavunja ndoa yangu

47pro

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
1,204
Reaction score
333
Jamani wanajamvi hamjambo?

Nasikitika sana mke wangu kaniacha kisa mimi niko UKAWA, japo nimemwambia kura ya uraisi ntawapa CCM, ila Leo niko Jangwani, ila mjue mke wangu kashanitema, jamani UKAWA nisaidieni ama nirudi CCM? Kuokoa ndoa yangu?

Jamani niko Jangwani nashindwa kukaa kwa Amani.
 
Mke wako au demu wako? Hizi ndoa za cku hizi bwana...
 
Mke mwema hutoka kwa Mungu, pengine huyo ni Mchepuko wa kigogo wa CCM halafu anakuzuga wewe...

Komaa na UKAWA uikomboe nchi kwanza, hakikisha kura unampigia Lowassa tukomboe nchi.
 
Kabla hajakuacha umeshamuacha mke haitwi demu...dadeki
 
Startimes ikileta mawimbi mengi toa weka dstv.. Picha clear. Ushanielewa.!
 
Pole HUWEZI ZUIA MAFURIKO KWA MKONO

LOWASSA=MABADILIKO MABADILIKO=LOWASSA
 
Huyo vp!?
Kama uko interested sema nikutumie namba...
#najua_ni_mzuri_kuliko_hilo_gamba
 

Attachments

  • 1440854299751.jpg
    28.5 KB · Views: 1,152

Huna la maana la kuuliza
 
Tafuta demu ukawa. Wapo bomba sana asikupeleke kizamani maana swaga za ccm ni zakizamani alaaaaa!!
 

Achana nae ukipata mke uliyemuoa kwa ndoa akakuacha nitabadilisha ushauri wangu.
 

Hujawaona warembo wa M4C hapo? kamata mkali zaidi yake hadi akupigie salite!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…