Wananchi hawajui serikali inapanga nini kuhusu maendeleo yao kwa kuwa hawajui waziri yupi wizara yake imempangia nini mtanzania kimaendeleo, njia pekee ya dhahabu kwa ukawa ni kuzunguka kwenye kanda na kusema lolote walilonalo
Wananchi gani wanaozungumziwa? Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametangaziwa 'vita' ya HAPA KAZI TU. Wanatakiwa muda wa kazi waupige vita umaskini kwa kuchapa kazi popote walipo. Wakati huohuo wabunge nao wanachapa kazi bungeni. Usiku baada ya kazi yaliyojiri bungeni yanatolewa kwenye TV nk. Sasa shida iko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.