CCM hiyo hiyo inajua kima cha chini ni shs 270,000 na bado inaamua kulipa kundi fulani posho ya 300k. Kawaida ya mawazo ya ccm ni upside down.
Kama wako tayari kuingia msituni aisee, that's good; Mungu anaweza akawageuza wakawa nyani na kutokomea hukohuko!
Ngoja tumuombe Mungu awaharakishe kukimbilia msituni!
Kukubali serikali mbili ni kama paka kuvaa mkufu wa dagaa shingoni mwake! Haiwezekani kwa viongozi waliopo sasa.
Mhe kwa utaratibu duniani kote kwa maamuzi makubwa mfano uundwaji wa katiba inatakiwa 2/3 na nchi zingine kama marekani wamefikia 3/4, wakisema simple majority itakuwa ni muendelezo wa maajabu tanzania!!ila kwa ccm siwezi kuwashangaa walishafika ukomo wa kufikiri.
Mhe samahani kama nimetumia lugha kali,tatizo maneno mengine unapoyasikia yanakera,utafikiri hii nchi wengine ni wapangaji!!na hawana haki ya kushiriki kutoa mawazo yao,binafsi nakereka na siasa za hovyo!!fikiria mtu anasema kama serikali 2 zisipopita anaingia msituni mara jeshi litachukua nchi zikipita serikali 3,watu wanaongea maneno ya ajabu hawachukuliwi hatua hata tu wakuu kukemea!!tumekua taifa la ajabu na ndiyo maana nikasema ccm wamefika ukomo wa kufikiri!!tunacheza na viberiti petrol station wenye dhamana ya nchi ndiyo wanashangilia!!Mkuu hoja ya kubadili katiba tokea zamani,na hata kwenye katiba inayutumika sasa , ambayo iliandikwa na CCM enzi ya chama kushika hatamu, ilihalalisha 2/3 kutoka kila upande wa muungano.Hivyo kuwatukana ccm bila kufanya research ni kuwaonea.
Mhe samahani kama nimetumia lugha kali,tatizo maneno mengine unapoyasikia yanakera,utafikiri hii nchi wengine ni wapangaji!!na hawana haki ya kushiriki kutoa mawazo yao,binafsi nakereka na siasa za hovyo!!fikiria mtu anasema kama serikali 2 zisipopita anaingia msituni mara jeshi litachukua nchi zikipita serikali 3,watu wanaongea maneno ya ajabu hawachukuliwi hatua hata tu wakuu kukemea!!tumekua taifa la ajabu na ndiyo maana nikasema ccm wamefika ukomo wa kufikiri!!tunacheza na viberiti petrol station wenye dhamana ya nchi ndiyo wanashangilia!!
Nimekuelewa mkuu,asante.Mimi nilidhani unajibu hoja yangu juu yauwepo wa 2/3s .Lakini maelezo yako yameegemea kwenye uchungu ulionao,ambao mimi katika kuchangia hoja sikusema lo lote.
Jana,mjini Dodoma,kilifanyika kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC ya CCM) chini ya Uenyekiti wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ndiye Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Mkutano huo,kwa mujibu wa mtoa taarifa aliyekuwepo ndani ya kikao hicho,ulipokea Taarifa Rasmi ya Ziara zilizofanywa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdurahman Kinana na timu yake katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Pia,kikao hicho kilipokea Mapendekezo ya Kamati Maalum ya Wataalamu waliopewa kazi ya kushauri cha kufanya katika hali ya sasa ya kisiasa nchini hasa katika suala la Katiba mpya. Taarifa zote mbili zliwasilishwa kikaoni na Katibu Mkuu wa CCM. Hatahivyo,kulikuwa na mambo mbalimbali mengineyo kama utendaji wa UVCCM,Umoja wa Wazazi,Umoja wa Wanawake na Idara mbalimbali za kichama na masula ya kifedha.
Katika kikao hicho kilichoisha usiku 'mnene',Umoja wa Ktiba ya Wananchi almaarufu kama UKAWA uliteka kikao hicho. " Ajenda zote zilimezwa na kujadili kuhusu UKAWA na jinsi ya kufanya mambo ya Katiba mpya yaliyokwama yasonge mbele|" alisema mmoja wa Wajumbe wa CC anayetokea Tanzania Bara. "Majadiliano yalikuwa moto sana.Mwisho wa yote, CC imetoa maagizo kwa Sekretarieti namna ya kukwamua suala la Katiba" aliongeza Mjumbe huyo bila ya kutaja maagizo yaliyotolewa.
Kuna kila dalili,CCM kuachana na msimamo wake wa Serikali mbili ili kusonga mbele kama Taifa katika kuimarisha Muungano kwa kuwa na Serikali tatu.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hapa watakachokuwa wamekubaliana ni kukimbilia kubadili sheria ya mabadiliko ya KATIBA.Mambo ya 2/3 yatabadishwa soon before AUGOST.
Ccm chama cha kicha machambaz hawa ni majambazi na wahun wa hii nchi kwanza lichama hili halina usajili wa kudumu,
Mtu yeyote alioko ccm hana akil na wote majambaz kwl
Jana,mjini Dodoma,kilifanyika kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC ya CCM) chini ya Uenyekiti wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ndiye Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Mkutano huo,kwa mujibu wa mtoa taarifa aliyekuwepo ndani ya kikao hicho,ulipokea Taarifa Rasmi ya Ziara zilizofanywa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdurahman Kinana na timu yake katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Pia,kikao hicho kilipokea Mapendekezo ya Kamati Maalum ya Wataalamu waliopewa kazi ya kushauri cha kufanya katika hali ya sasa ya kisiasa nchini hasa katika suala la Katiba mpya. Taarifa zote mbili zliwasilishwa kikaoni na Katibu Mkuu wa CCM. Hatahivyo,kulikuwa na mambo mbalimbali mengineyo kama utendaji wa UVCCM,Umoja wa Wazazi,Umoja wa Wanawake na Idara mbalimbali za kichama na masula ya kifedha.
Katika kikao hicho kilichoisha usiku 'mnene',Umoja wa Ktiba ya Wananchi almaarufu kama UKAWA uliteka kikao hicho. " Ajenda zote zilimezwa na kujadili kuhusu UKAWA na jinsi ya kufanya mambo ya Katiba mpya yaliyokwama yasonge mbele|" alisema mmoja wa Wajumbe wa CC anayetokea Tanzania Bara. "Majadiliano yalikuwa moto sana.Mwisho wa yote, CC imetoa maagizo kwa Sekretarieti namna ya kukwamua suala la Katiba" aliongeza Mjumbe huyo bila ya kutaja maagizo yaliyotolewa.
Kuna kila dalili,CCM kuachana na msimamo wake wa Serikali mbili ili kusonga mbele kama Taifa katika kuimarisha Muungano kwa kuwa na Serikali tatu.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
CCM hiyo hiyo inajua kima cha chini ni shs 270,000 na bado inaamua kulipa kundi fulani posho ya 300k. Kawaida ya mawazo ya ccm ni upside down.