UKAWA waanza kuweweseka

UKAWA waanza kuweweseka

jaba jumah

Senior Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
150
Reaction score
50
UKAWA waanza kutafuta mchawi miongoni mwao.

Ni baada ya mambo yao mengi kutokwenda kama walivyotarajia, hali iliyosababisha kufeli kufika kwenye baadhi ya maeneo na inasemekana kuwa kuna badhi ya maeneo wameshindwa kuzindua kampeni kutokana na ukata wa fedha, hali iliyosababisha
sintofahamu nyingi miongoni mwa wanachama.
 
Hakuna chaguzi ambao Ccm imebana mbavu kama huu!!Zanzibar Seif Sharif Ahmad kaibomoa ngome ya Ccm Unguja watu wazito walikuwa Ccm kama Mansoor na Mzee Moyo wameingia Cuf,Wazanzibar wamechukia katiba ya wananchi kutupwa na Ccm.Pemba ni ngome nzito ya Cuf ambayo Ccm tangia kipindi cha Nyerere walishindwa kuibomoa (Ccm wamekosa ata mwakilishi since 1995 election).

Kipindi hiki pia Maalim Seif anagombea akiwa Makamu wa Raisi hivyo ule wizi na uonevu utapungua maana pia kuna vitu vingi anavyojua.Hapa Bara pia Ccm wanaweweseka kweli ndio maana vijana wao wanaeneza Cheap politics kama mtoa mada anavyofanya,poa tukutane october 25th.CCM OUT.
 
Ccm ndio wanaweweseka utafikiri wao ndio chama pinzani wanavyohangaika maana kila siku wabuni uongo mpya kutaka kuwarubuni watu ila wameshindwa sasa wamegonga mwamba
 
Ccm hawana nia njema na nchi zaidi yakuhitaji madaraka!. Otherwise wasingechakachua katiba ya wananchi
 
Mkilala niukawa mkiamka niukawa loohhh kweli ukawa inapendwa kura yangu ntawapa ukawa.
 
Tutalia kwa push up au? Mwaka huu tunawapasua mabusha kweupeeee

Tutakutana October 25, yaan EL akipata hata 30% bya kura ataringa, nyie endeleen kupiga domo tu huku kwenye mitandao, sie tunapiga kazi tu
 
Back
Top Bottom