UKAWA vipi tena?

WEKKI

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
477
Reaction score
146
Ndugu wana Jamiiforums, Bunge la Katiba linaendelea UKAWA wametoka nje na hawataki kurudi ndani.

Lakini waliomo ndani nao hawana wasi wasi wowote ndo tunasikia wamekaribia kupiga kura za kupendekeza ibara.

UKAWA mbona wako kimya?

Au wamepanga nao nini? mbona UKAWA hawajatoa tamko lao ?

Nisiongee sana nyinyi mnasemaje?
 
Wewe inaonekana ukikuwa nje ya nchi kama hujui nini ukawa wanaongea juu ya katiba,ungejaribu kuwauliza wanaofuatilia nafikiri husinge kuja na swali kama hili kipindi hiki.
 
Kuongea ni sawa hata hapa tunaongea.. lakini mbona bunge linaendelea..???
 
Walio nje ya Bunge Maalum la Katiba wanaruhusiwa kupiga kura wakiwamo UKAWA - come on UKAWA!!! msipoteze nafasi hii muhimu sana katika Taifa hili
 
Walio nje ya Bunge Maalum la Katiba wanaruhusiwa kupiga kura wakiwamo UKAWA - come on UKAWA!!! msipoteze nafasi hii muhimu sana katika Taifa hili

nadhan walisema kuwa UKAWA walitoka bungen bila ruhusa ya spika so hawana hio haki au me nlielewa vbaya na akasema mpaka wamwombe spika ndio mwenye uwezo wa kuwapa ruhusa ya kupiga kura au la!
 
nadhan walisema kuwa UKAWA walitoka bungen bila ruhusa ya spika so hawana hio haki au me nlielewa vbaya na akasema mpaka wamwombe spika ndio mwenye uwezo wa kuwapa ruhusa ya kupiga kura au la!

Spika aliwabembeleza na anaendelea kuwabembeleza sana - ni juu ya UKAWA kutuonyesha wanajua maana ya neno MARIDHIANO.

UKAWA tafadhali msipoteze nafasi hii muhimu majina yenu yataandikwa kwa wino wa dhahabu badala ya wino wa DAMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…