UKAWA tuwe na kituo cha tv kabla ya Septemba mosi

UKAWA tuwe na kituo cha tv kabla ya Septemba mosi

Querido

Senior Member
Joined
May 12, 2014
Posts
176
Reaction score
115
Ni ushauri wangu makamanda...kwa hali ilivombaya kwa serikali dhalimu ya ccm kuminya uhuru wa vyombo ifikapo 1 sept tutapata shida sn

Viongozi wakuu tunawaomba mana c wote wanaotamani kufika kwenye mafuriko wengne wako mahospitalini ila hawataki wapitwe na wengne ni walimu wapo shuleni wanatamani kupata live infos
NAAMINI WATZ WAZALENDO TUPO TAYARI KUVHANGIA KUANZISHWA NA KITAKUA TV NAMBA MOJA KWA KUANGALIWA
 
kwani mnachama chama kimeshauzwa kwa lowasa nanukuu dr slaa: kwa sasa watanzania hawatatuelewa muda si mrefu wataelewa
 
hicho kituo si kitakuwepo hapa nchini na sheria ni zilezile zinazoviongoza vyombo vyote vya habari, na ukumbuke kuna sheria za uanzishwaji wa vyombo vya habar na huo muda uliotaja hakitakuwa tayar kabisa labda mwakan na maudhui yake kama ni kwa ajili ya makamanda basi subir baada ya oct 25 kama ukawa wakiingia madarakan wataanzisha kirahis ika kwa ccm hii basi na liwe wazo tu kwan hawatakuwa tayar kwasabab wanajua watakaangwa
 
Unaonekana kama uwezo wa kufikiria ni mdogo, kituo chochote kipo chini ya sheria bila kujali mmiliki wake ni nani. Halafu pia huamki tu asubuhi na kufunga mitambo ya tv na kuanza kurusha matangazo, kuna taratibu za kufuata ambazo zaweza kuchukua hata miezi mimne. Kuna muda wa kurusha matangazo ya majaribio.
 
Unaonekana kama uwezo wa kufikiria ni mdogo, kituo chochote kipo chini ya sheria bila kujali mmiliki wake ni nani. Halafu pia huamki tu asubuhi na kufunga mitambo ya tv na kuanza kurusha matangazo, kuna taratibu za kufuata ambazo zaweza kuchukua hata miezi mimne. Kuna muda wa kurusha matangazo ya majaribio.
Viroba vinamsumbua huyo
 
Tunaanza kupokea hiyo michango kwa ajili ya kufungua TV. Kama umeguswa tuma...
NMB Bank. Ac. NO. 01320608765433
CRDB Bank AC. NO. 37708576678890
PBZ Bank AC. NO. 298478898e8799
TIGO Pesa NO 0164 456787
EZY Pesa NO. 0773 347890
Airtell 0183 467833
Katika hili peeeeepoles power haina nafasi hapa ni moneeeeeeeeeeeeeeeeeys power.
 
Back
Top Bottom