UKAWA ni historia

UKAWA ni historia

beco

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
1,339
Reaction score
787
Kwakweli kwa hili chaguo la CCM limewamaliza upinzani kabisaa, hamna mgombea hata mmoja mwenye mvuto kwa wananchi wote wamechoka na hata wenyewe wanatambua hilo kuwa watagombea kutimiza taratibu lakini si kwa ushindani, tatizo kubwa la vyama hivi vimefanywa Kuwa kama makampuni ya watu, hawaandai warithi na ukifikiria Utaka Urais wanakuchukia
 
We ndyo ndoroobo kabisa nani kakwambia mpangaji anaweza kumkemea baba mwenye nyumba nchi sio barabara mpaka ccm wamempitisha john pombe sio wameona anafaa na wala sio chaguo lao ni ili tu kuokoa mpasuko wa chama kati ya membe na rooosaaa,maana hao ndyo waliokuwa na mvuto kwa wanachama na wananchi,kama kweli mliona john pombe mchapa kazi mbona mlikuwa mnawasifia rooosaaa na bwana mee embe wameshindwa mnaanza kumsifia john pombe.
 
Magufuli ni mchapakazi hodari, hana kashfa za ufisadi na mwadilifu HOJA NI HII ; mtu msafi atawezaje kufanya kazi ndani ya mfumo mchafu? Hivi ni kweli magufuli ataweza kupambana na ufisadi wakati ufisadi ni mfumo ndani ya sisiem ? Hao mawaziri watakao unda baraza la mawaziri si atawatoa ndani ya sisiem iliyo shindwa kudhiti ufisadi awamu zote? Kwa mtazamo wangu " is like an old wine in a new botle"
 
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...a-rais-siyo-msafi-na-hajawahi-kuwa-msafi.html

Magufuli ni mchapakazi hodari, hana kashfa za ufisadi na mwadilifu HOJA NI HII ; mtu msafi atawezaje kufanya kazi ndani ya mfumo mchafu? Hivi ni kweli magufuli ataweza kupambana na ufisadi wakati ufisadi ni mfumo ndani ya sisiem ? Hao mawaziri watakao unda baraza la mawaziri si atawatoa ndani ya sisiem iliyo shindwa kudhiti ufisadi awamu zote? Kwa mtazamo wangu " is like an old wine in a new botle"
 
magufuli sio msafi sana.ingawa ana uhafadhali...ukawa wasipojipanga vizuri watapigwa saa nne tu asubuhi..
 
Ukawa bado mnajikaza licha ya kuhakikisha kwa mmeshinwa. Hongereni washiriki wetu katika siasa TZ
 
Back
Top Bottom