sentino2015
Senior Member
- Apr 9, 2015
- 176
- 30
Huu muungano wa hiari wa vyama ambao ulitokana na hamasa chanya ya makubaliano ya kutoka nje ya bunge la katiba kwa sasa,limekuwa kundi la bendera fuata upepo,maana tangu tuanze kusubiria hilo jina la mgombea wao ni kama twasubiri mvua kunyesha kiangazi,kwa.dalili hizo tu za subira isiyo na mwisho,nalazimika kuamin maneno ya zamani kwamba genge hilo halitadumu na halina mikakati yoyote,nashauri ukawa kuwaza sasa kuanza kumuunga mkono mjenga nchi magufuli maana huko mliko.na.magenge hayo sidhan kama uhai kundi hilo utaendelea,lengo si kuhamasisha ujenzi wa nchi?upele umepata mkunaji magufuli kusiwe na.kuoneana donge tuache Ngo ziendelee iwe.ukawa wa.kujenga taifa.