Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ukimfutilia sana mzee tupa tupa huwezi sema ni mwana-CCM na halikadhalika si mpinzani.Nani sasa, Mchambuzi au mzee tupatupa wa Lumumba?
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Fuso zitapata pesa safari hii. Kusomba watu wa CCM mikoa yote si kazi ya kitoto
Haaa chama kikishazoea ela za wizi ni balaa. Eti mambo fulani, vp amjapiga kwenye gas?
pamoja na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbaliTunawakaribisha mtaani, ila mje na takrima ya kutosha - sisi tutajipanga tujae kwenye mikutano yenu, msisahau usafiri wa kwenda na kurudi mikutanoni, Posho za siku, ikiwezekana Pilau na Soda!! Msibadililke - Tunawasubiri kwa hamu.
Hapana mkuu, wewe kweli huwa humuelewi, mbona kila akipost huwa anaandika pale chini kuwa yeye ni mzee tupatupa wa Lumumba?Inamaana mkuu wewe hujui mtaa wa Lumumba kuna ofisi za chama gani?!Haya.., hata kama hujui basi, amesema sasa kuwa UKAWA wanasababisha wao(CCM)hawali wala hawalali, na kwamba UKAWA waache sifa kwani hata wao CCM wanajipanga kujibu mapigo, bado tu hujaelewa VUTA-NKUVUTE yuko chama gani?!, masihala hayo mkuu!!Ukimfutilia sana mzee tupa tupa huwezi sema ni mwana-CCM na halikadhalika si mpinzani.Ana sifa zote za kuitwa kinyonga.
Huyu ni mnafiki tu, huwa anaongopa kuwa yupo Lumumba lakini ni kijana mtiifu wa Mbowe!Mkuu mtoa mada anaandika kutoka Lumumba UKAWA wametoka wapi tena?
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Haya nenda kachukue jero ufipa
Hapana mkuu, wewe kweli huwa humuelewi, mbona kila akipost huwa anaandika pale chini kuwa yeye ni mzee tupatupa wa Lumumba?Inamaana mkuu wewe hujui mtaa wa Lumumba kuna ofisi za chama gani?!Haya.., hata kama hujui basi, amesema sasa kuwa UKAWA wanasababisha wao(CCM)hawali wala hawalali, na kwamba UKAWA waache sifa kwani hata wao CCM wanajipanga kujibu mapigo, bado tu hujaelewa VUTA-NKUVUTE yuko chama gani?!, masihala hayo mkuu!!
Hahahaaa!!Anyway,sawa.
Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kinyume chake majimbo mia mbili ndiyo yana mgogoro NLD wanataka majimbo mia.Majimbo tisa kati ya miambili yana mgogoro ndani ya ukawa-Tundu lissu
Kinyume chake majimbo mia mbili ndiyo yana mgogoro NLD wanataka majimbo mia.
Safari iliyopita mlitumia fisi kukusanya watu. Safari hii mnatarajia kuja na mbinu ipi???Hatulali.Hatuli,tukashiba. Hatuwazi tukang'amua. Hatupigi tena stori maofisini na kupumzika kidogo. Acheni sifa za kijinga. Mnataka tuwe tunatumwatumwa kila wakati au? Mnataka nyaraka-kemea ziendelee kutamalaki chamani mwetu? Acheni hizo. Ndiyo nini kugawana mikoa mbalimbali ya Tanzania na kushambulia kama nyuki? Mnalenga nini? Sifa zitawaua nyinyi UKAWA.
Kwa taarifa yenu, nasi tunasubiri 'mambo fulani' yaidhinishwe ili tuje kuwajibu mapigo yenu na tuvijibu vihoja vyenu kwa hoja za haja. Tutafanya mikutano ya mfano na si ya ngano. Tutafunika na kuwashika. Hakakuwa na ACT wala UKAWA.CCM ikianza kuunguruma,wote mtajificha. Sifa zenu zitawaponza!
Endeleeni tu kutuchokoza. Kama mbwai,itakuwa mbwai kweli!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Safari iliyopita mlitumia fisi kukusanya watu. Safari hii mnatarajia kuja na mbinu ipi???
Sasa hivi CCM mtalia na kwenda kutusemea kwa Mangu na Jaji Mutungi awaokoe.