Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,900
Chanzo chetu kutoka kwa wapika majungu wakuu wa CHADEMA wanasema kuwa baada ya kumtumia Dr.slaa kuingia Ikulu watamnyang'anya Uanachama ili akose sifa za kuwa Rais kama walivyomfanyia Zitto Kabwe .
Hii inatoka tofauti kubwa iliyopo kati ya mwenyekiti wa CHADEMA na katibu Mkuu wake. mgogoro mkubwa uliozuka hivi Karibuni baada ya Dr. Kuomba Mh. mbowe amwachie uenyekiti wa chama baada ya kuwa Rais lakini mwenyekiti alipinga vikali hoja hiyo.
Source. Kingmakers wa CHADEMA
Hii inatoka tofauti kubwa iliyopo kati ya mwenyekiti wa CHADEMA na katibu Mkuu wake. mgogoro mkubwa uliozuka hivi Karibuni baada ya Dr. Kuomba Mh. mbowe amwachie uenyekiti wa chama baada ya kuwa Rais lakini mwenyekiti alipinga vikali hoja hiyo.
Source. Kingmakers wa CHADEMA