Kasome tena Uweke sawa Swali lako...!!,Sorry!kwenye tittle ni ""hamtujuzi""
Ni Mwenyekiti Chaso au M/Mwenyekiti BAVICHA??Mbona lipo sawa...hujaelewa wapi mkuu?
Huyu atakuwa anamuongelea Sosopi, Lakini aliamka bila kujipanga au alisikia tetesi juu juu...!Mwenyekit wa chaso ni yupi? Na ni wa mkoa gan manake wenyekit wako wengi.
Huyu atakuwa anamuongelea Sosopi, Lakini aliamka bila kujipanga au alisikia tetesi juu juu...!
Vihiyo haoNi Mwenyekiti Chaso au M/Mwenyekiti BAVICHA??
Kwani hili jamvi ni la UKAWA?Ni takriban cku 4au5 hivi tangu mmeripotisha hapa jamvin,kwamba kakamatwa m/kiti wenu wa chasso na amepelekwa kusikojulikana.
Hivyo tulitegemea kuendele kupata update kwa kila hatua lakin cha ajabu mmekaa kimya.
Hata kama amepatikana,vyema pia mkatujuza wana jamvi ili kuondoa maswali mengi yaliyokosa majawabu.
Au ni umaarufu tu mliokuwamnamtafutia?kwamba na yy aonekane mtu maarufu kwa kukamatwa na polisi?
Naomba majibu tafadhali!
Mkuu Mahabusu kusikie tuu.Ukinyimwa Msosi siku 3 mfululizo then siku ya Nne unaletewa msosi umewekwa kwenye Mtondo wa Kinyesio mkuu,Unaliwa kiboga mapema sana.Aaa mkuu acha masihala bana,naomba nijibiwe kama nilivyouliza.