Gibiba
Senior Member
- Jun 22, 2016
- 114
- 27
Ni takriban cku 4au5 hivi tangu mmeripotisha hapa jamvin,kwamba kakamatwa m/kiti wenu wa BAVICHA na amepelekwa kusikojulikana.
Hivyo tulitegemea kuendele kupata update kwa kila hatua lakin cha ajabu mmekaa kimya.
Hata kama amepatikana,vyema pia mkatujuza wana jamvi ili kuondoa maswali mengi yaliyokosa majawabu.
Au ni umaarufu tu mliokuwa mnamtafutia?kwamba na yeye aonekane mtu maarufu kwa kukamatwa na polisi?
Naomba majibu tafadhali!
Hivyo tulitegemea kuendele kupata update kwa kila hatua lakin cha ajabu mmekaa kimya.
Hata kama amepatikana,vyema pia mkatujuza wana jamvi ili kuondoa maswali mengi yaliyokosa majawabu.
Au ni umaarufu tu mliokuwa mnamtafutia?kwamba na yeye aonekane mtu maarufu kwa kukamatwa na polisi?
Naomba majibu tafadhali!