sambeke JF-Expert Member Joined Nov 26, 2014 Posts 713 Reaction score 651 Sep 17, 2016 #1 Yaani wanaukawa nawashauri sana kama ni Kiki mngetafutia hata hapa kwenye matetemeko kuliko kwenye kudai demokrasia. Mngetafutia UMOJA WA KUSAIDIA TETEMEKO BUKOBA. UKUBU, Hapa mngepata Kiki na wananchi wangewaelewa zaidi kuliko ukuta wenu.
Yaani wanaukawa nawashauri sana kama ni Kiki mngetafutia hata hapa kwenye matetemeko kuliko kwenye kudai demokrasia. Mngetafutia UMOJA WA KUSAIDIA TETEMEKO BUKOBA. UKUBU, Hapa mngepata Kiki na wananchi wangewaelewa zaidi kuliko ukuta wenu.
K kiogwe JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 3,763 Reaction score 4,945 Sep 17, 2016 #3 Hivi hizo buku 7 lazima muandike utumbo humu ndio mpewe mnatia kinyaa