UKAWA kuzikwa rasmi Oktoba 25

UKAWA kuzikwa rasmi Oktoba 25

Tulime

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2015
Posts
248
Reaction score
104
zikiwa zimebaki siku nne kabla ya watanzania kumpigia kura ya kumchagua john pombe magufuli kuwa rais wa tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania.

Vyama vinavyound umoja wa katiba ya wananchi almaarufu ukawa wameanza kutapa tapa na kumwona kila aliyepo mbele yao ni mbaya,mwizi wa kura na kibaraka wa chama cha mapinduzi.

Kwa kuonesha kuwa mwisho wao umekaribia mara baada ya vyombo mbali mbali vya habari duniani vikiwemo bbc ya uingereza,cnn na vyombo vya habari vya afrika kusinina watafiti wanao aminika kusema ushindi wa magufuli upo na ni wa kishindo.

Mh mbowe mara baada kusoma nyakati hizo siku mbili hizi ametoa mpya za mwaka mara baada ya kuwatuhumu waangalizi wa kimataifa kuwa ni wezi na vibaraka wa ccm na wapo ili kukisaidia chama cha mapinduzi kuendelea kushika dola. Mbowe ameenda mbali kwa kusema waangalizi hao hawaaminiki na wapo ili kutetea na kulinda ccm


kwa maana hiyo ni uhalisia usio fichika kuwa vyama vinavyounda ukawa vimeanza kukologana na kuhaha kumtafuta mchawi ili wakishindwa katika uchaguzi ujao wapate visingizio ila ukweli ni kuwa hawakujiandaa kushiriki uchaguzi huu kwa namna yeyete ile ndiyo maana kila hatua walikurupuka tuu ikiwemo ya kumpata mgombea wao wa kiti cha urais.
 
Sas hv....ni wafa maji....ukion mtu anashndw kunad sera.....ujue kifo chake hichooooo kinakuj
 
mimi nitamkata magufuli shingoni shaaaaaaa!
 
Hata iweje - Kura yangu itaenda kwa Lowassa kwa kuichukia mno CCM.
 
ccm baada ya uchaguzi.jpg
 
nikikukmbuka epa na escrow kikatio change mnaona wenyewe kitamkata nani kati ya hao wawili hahahahahhaahha
 
Umoja wa katiba ya wananchi ukawa unaweza kuangukia pua katika uchaguzi huu,hali inayoonyesha kuwa viongozi wa umoja huo wameanza kuhaha
 
bado kidogo maandiko yatimie kuzika lile genge la makanjanja wanaojiita ukawa, chagua magufuli
 
CCM hafai hata kidogo, inanunua chopa mbovu hadi zinaua Wapendwa wetu. I think good idea ni kuizika CCM.
 
Kichin jio changu nimekitunza vizuri, kipo ndani ili nikawachinje hiyo October 25
 
Vijana wa MAKAMBA..... ni shida sana humu JF....


Natumai kuna ID zitapotea humu Baada ya Tar 25.
 
CCM wanashambulia kama Barcelona, waanashambulia kila kona, UKAWA hawataamini matokeo, bahati mbaya vijijini hawajafika kabisa kwenye kampeni ambako ndo kuna 70% ya kura, kutwa kucha wako kwenye chopa wanapishana na wapiga kura wa vijijini, lazima wadai wameibiwa
 
Kuna tetesi kuwa viongozi wa UKAWA wametorosha mabilioni nje ya nchi na kuziondoa familia zao, pole yao
 
Back
Top Bottom