UKAWA imetisha Tabora-Nzega

BROEDASS

Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
32
Reaction score
18
Ni hakika mabadiliko ya kweli yamefika Nzega asilimia 90% ya nafasi za serikali za mitaa zimeshikwa na UKAWA na hii inatupa picha halisi ya uchaguzi mkuu 2015!ni hakika kauli mbiu ya ukawa "DELETE CCM" imeanza kutimia!
 
Walau kwa 90% ina onesha kuwa ni mitaa mingi imechukuliwa na UKAWA. Hata kama majina ya mtaa hujayataja, asilimia uliyoitoa inaleta picha fulani ya ushindi wa UKAWA. Ahsante kwa taarifa...!!!!!
 
Tabora ina wapiga kura kuliko Arusha.
Tabora inaikaribia Dar Kwa idadi ya wapiga kura.
 
Unapigwa na Tochi,unanyanga'anywa pochi halafu unapigwa madochi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…