UKAWA jijini Arusha wameachwa na UKIWA huku wakiwa hawaelewi cha kufanya baada ya suprise ya jana kutoka Kwa mtu wa kazi mpiga kazi kikazikazi jembe linalolima hata mpini ukivunjika ....Dr Johny Johny Johny ooo!!
Mpaka ninavyoshusha thread hii watu wanatumiwa sms kicybercrime yaani hata kama wewe sio mpiga kura wanakutumia tu.
Mpaka usiku huu migari mibovu yenye spika zinazokoroma zinapita kutangaza mkutano wa lowassa kesho.
Mbaya zaidi message inasema mkutano uko huku wakati magari hayo yanatangaza mkutano uko kule...
Yani mpaka nawaonea huruma watani zangu kina Mmaiwa
Wewe usijiite mtu WA Arusha maana akili yako haifanani nao.....Watu wa Arusha hawashindagi kwenye mtandao wakifanya cheap propaganda....makamanda wako mbugani ama porini wanasaka pesa
Arusha:BORA CONDOM ILIYOTUMIKA IWE MBUNGE WA ARUSHA KULIKO CCM
UKAWA jijini Arusha wameachwa na UKIWA huku wakiwa hawaelewi cha kufanya baada ya suprise ya jana kutoka Kwa mtu wa kazi mpiga kazi kikazikazi jembe linalolima hata mpini ukivunjika ....Dr Johny Johny Johny ooo!!
Mpaka ninavyoshusha thread hii watu wanatumiwa sms kicybercrime yaani hata kama wewe sio mpiga kura wanakutumia tu.
Mpaka usiku huu migari mibovu yenye spika zinazokoroma zinapita kutangaza mkutano wa lowassa kesho.
Mbaya zaidi message inasema mkutano uko huku wakati magari hayo yanatangaza mkutano uko kule...
Yani mpaka nawaonea huruma watani zangu kina Mmaiwa
Takwimu zinaonesha kuwa Arusha inaongoza kwa watumiaji wa mtandao nchini.
hivi majuzi kuna kijana mkazi wa Arusha katiwa mbaroni kwa kosa la cyber crime.
Wachimbaji wako simanjiro sio Arusha!
Wewe usijiite mtu WA Arusha maana akili yako haifanani nao.....Watu wa Arusha hawashindagi kwenye mtandao wakifanya cheap propaganda....makamanda wako mbugani ama porini wanasaka pesa
Arusha:BORA CONDOM ILIYOTUMIKA IWE MBUNGE WA ARUSHA KULIKO CCM
UKAWA jijini Arusha wameachwa na UKIWA huku wakiwa hawaelewi cha kufanya baada ya suprise ya jana kutoka Kwa mtu wa kazi mpiga kazi kikazikazi jembe linalolima hata mpini ukivunjika ....Dr Johny Johny Johny ooo!!
Mpaka ninavyoshusha thread hii watu wanatumiwa sms kicybercrime yaani hata kama wewe sio mpiga kura wanakutumia tu.
Mpaka usiku huu migari mibovu yenye spika zinazokoroma zinapita kutangaza mkutano wa lowassa kesho.
Mbaya zaidi message inasema mkutano uko huku wakati magari hayo yanatangaza mkutano uko kule...
Yani mpaka nawaonea huruma watani zangu kina Mmaiwa