Ukame wakati huu

Ukame wakati huu

jamaajamii

Member
Joined
Apr 19, 2015
Posts
70
Reaction score
6
Kuna watu humu hawana wenza. Namaanisha hajaolewa au kuoa na hawana wapenzi wa kuaminika au wa kudumu.Sasa kwanini wasitafute humu wachumba ili kumaliza tatizo?
 
wewe umeoa au unatafuta kwa lugha ya kiungwana,sijaolewa ila sijajua nitumie njia ipi kupata mume humu maana waliojaribu kuweka mabango sina uhakika kama wanapata wanaume humu Jf
 
wewe umeoa au unatafuta kwa lugha ya kiungwana,sijaolewa ila sijajua nitumie njia ipi kupata mume humu maana waliojaribu kuweka mabango sina uhakika kama wanapata wanaume humu Jf

kama jina lako nalijua vile..!! ulishasoma udsm enzi zile.?
 
wewe umeoa au unatafuta kwa lugha ya kiungwana,sijaolewa ila sijajua nitumie njia ipi kupata mume humu maana waliojaribu kuweka mabango sina uhakika kama wanapata wanaume humu Jf

Mapembelo vavene!!!!. Siyo kidume kweli wewe Sanga??Maana members wa JF hamuachi vituko!
 
Jamani watoto wazuri wa kike wapo humu, nimekutana na mmoja sasa hivi ni best friend ana vigezo vyote vya kuwa mke ila bahati mbaya tayari nina mchumba. Tusiwadharau dada zetu waliomo humu they r normal ladies.
 
kwani lazima kupata mchumba kutoka humu
 
Watu wenye mtazamo kama wako ndio kutwa kucha kuwasumbua wengine huko PM...
 
Back
Top Bottom