Ukakasi wa tamisemi juu ya chama cha DP

Ukakasi wa tamisemi juu ya chama cha DP

Abdul Mluya

Member
Joined
May 28, 2013
Posts
47
Reaction score
25
Tamisemi imedanganya umma juu ya matokeo ya jumla ya uchaguzi kwa kua takwimu zao hazina usahihi .wametoa asilimia ya vyama jinsi vivyo shinda bila kuitaja DP na ADC vyama ambavyo navyo vimeambulia viti je ni chama gani kilicho pewa pasenti hizo hapa napata shida nataka kuamini kua ccm imeshinda kwa 60% tu na kama ndivyo nataka kusema hongera upinzani UKOMBOZI umewadia 2015
 
Ni kweli wamedanganya, ila weka takwimu sahihi basi tuthibitishe huo uongo wao!
 
CCM Hajafika huko mkuu,
Walijitangazia 40% bila kupingwa...kumbuka kulikuwa na mapingamizi hewa,
Pili kwenye uchaguzi wa kura walipata 35% na upinzani 65%. Hii hata JK anaijua
 
Ni kweli wamedanganya, ila weka takwimu sahihi basi tuthibitishe huo uongo wao!

Huko kigoma ACT -Tanzania imeshinda vijiji 8. Hebu tuonyeshe katika takwimu za TAMISEMI matokeo haya kama yameonyeshwa.
Serikali dhaifu haiwezi kusema ukweli kamwe!!!!
 
Katika hali ya kushangaza na isiyo vumilika nipale ambapo Nd Luanda alipo tangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji na kukipa chama cha DP sifuri kwamba hakikipata kitu jambo ambalo si kweli nikweli serikali hawa mpendi Mwk mtikila na chama kwa ujumla lakini waipe haki yake Dp inapo shinda japo kuitaja DP inaleta ukakasi midomoni mwao lakini ”mnyonge mnyongeni haki yake mpeni”
 
Sawa haki yake mpeni, mlishinda mitaa au vijiji vingapi?
 
Dp imeshinda kijiji cha MKWANGA halimashauri ya wilaya ya kigoma
2.kitongoji cha kivurunga
3.kitongoji cha kasaka” A”
4.kitongoji cha kampambe” A” wilaya ya uvinza
5.kitongoji cha nyabigusa
Vyote hivyo ni mkoa wa kigoma
6.kitongoji cha Bupu wilaya ya mkuranga PWANI
chakushangaza bado DP inapewa sifuri au ndio kuongezea cha tawala asilimia ilikionekane kimeshinda upinzani kwa mbali ?
 
Back
Top Bottom