bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 806
- 2,572
Hatutaki kutugombanisha watu walivyokuwa wanatekwa walitwa dini zote maumivu wanayapata wote msilete chokochoko zenu
Lile gari la bwana abdu bugati ya bilioni 20 ukigawa mngepata toyota ist masheikh 1200 nchi nzima wote mngekuwa mnatembelea gari ila sisi tukiungana kukataa ufisadi nyie mnatumika hivyo tu msitugombanishe na ndugu zetu
Lile gari la bwana abdu bugati ya bilioni 20 ukigawa mngepata toyota ist masheikh 1200 nchi nzima wote mngekuwa mnatembelea gari ila sisi tukiungana kukataa ufisadi nyie mnatumika hivyo tu msitugombanishe na ndugu zetu