Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,164
- 5,761
Kupitia akaunti yake ya instagram, Mama mzazi wa Diamond Platinumz ameendika maneno machache lakini yenye ujumbe mzito kwa mama wa wajukuu zake, Zarina Hassan aka Zari the Boss lady. Ni maneno yenye faraja kubwa na yanayozima baadhi ya tetesi zilizokuwa zimeenezwa kuwa wawili hao hawapatani.
Mama Diamond kaandika "Umepoteza Mama na Umebakia na Mama ambaye ni mimi.... @zarithebosslady Mama Tee tumshukuru Mungu kwa kila hali Allhamdullillah!" naye Zari hakusita kulike na kujibu"Sante mama nashkuru". Na katika post nyingine Mama Diamond ameendika "We are with you @zarithebosslady Love you Mama Tee wangu" huku Zari akijibu "Love u mama"
Mama Diamond kaandika "Umepoteza Mama na Umebakia na Mama ambaye ni mimi.... @zarithebosslady Mama Tee tumshukuru Mungu kwa kila hali Allhamdullillah!" naye Zari hakusita kulike na kujibu"Sante mama nashkuru". Na katika post nyingine Mama Diamond ameendika "We are with you @zarithebosslady Love you Mama Tee wangu" huku Zari akijibu "Love u mama"