Ujumbe kwa Mbunge alieita Wananchi kuku leo

Msamiati

R I P
Mar 6, 2011
1,063
697
Mimi sio mfatiliaji wa siasa kabisa, lakini leo wakati natizama bunge kuna jambo limenisikitisha sana. Kwanza nilimuona dada mmoja akilalamika kuwa askari wanaua wananchi wanao sogelea kandokando ya mgodi kwa ajili ya kuokota mabaki ya mawe, yule dada aliongea kwa uchungu mpaka akawa anataka kulia. Kisha mchangiaji aliefata mzee mmoja hivi mimi siwajui majina, akasema ,"watu wengine kwenye makabila yao hata wakifa kuku ni msiba mkuubwa". Mimi nimechukia sana na kama ningekuwa dodoma leo ningelala polisi, sikujua kama kuna mizee ------- kama lile, inawezekanaje watu wanakufa wewe ukasema kuku! kuku yeye na mke wake na familia yake yote mshenzi kabisa na azidi kulaanika tumbo lishuke mpaka alibebe na toroli.
 
we mleta POST taja tu...! unaogopa nini....!? hapa ndipo penye uwazi na ukweli....!
 
we mleta POST taja tu...! unaogopa nini....!? hapa ndipo penye uwazi na ukweli....!

Mimi siwajui majina ila jamaa anasema ni Kangi lugora, tena nimemkariri ili nisimsahau, mijitu mingine sijui ikoje
 
Amenigusa sana yuke mbunge wakati anachangia,aliongea kwa huzuni sana hadi mwili ulinisisimka! Hii nchi watanzania tunanyanyasika wakati ni nchi yetu,ipo siku! ipo siku ninasema wale watanzania mliowalaza kwa namna mnazozijua wataamka na hamtategemea maana mmeshindwa kula na vipofu...
Ufalme wenu unafikia mwisho maana hamna marefu yasiyo na ncha. ee Mwenyezi Mungu tuangalie watanzania tulioonewa na utawala huu!!!
 
Unategemea IRON BOYS azungumze nini zaidi ya pumba? ona ma silver and golden boyz wanavyowachachafya hadi maprofesa
 
Back
Top Bottom