nakubaliana na mtoa mada. kingunge alisema ccm wana mbinu mia moja hapo wametumia moja tu. that means hakuna mwaka ccm itang'olewa. ninachoamini mimi ni kwamba, imefika wakati na Mungu amechoka na ccm, Mungu mwenyewe atashuka kuwakomboa watanzania. Mungu anajua atawakomboaje watanzania. kilio chao kimemfikia Mungu.