Naona kuna banda hapo nyuma kama vile kuna mtu anaishi.
Weka tu nyaya na plumbing, magrill sioni umuhimu wake hapo ka ni kijijini.
Halafu hiyo nyumba sidhani kama ni 15m X 16mni
Naona kuna banda hapo nyuma kama vile kuna mtu anaishi.
Weka tu nyaya na plumbing, magrill sioni umuhimu wake hapo ka ni kijijini.
Halafu hiyo nyumba sidhani kama ni 15m X 16m.
Ni kweli kunamtu ila shida ni nyakati za usiku atakuwa tayari kulinda na ni lazima alipwe. Ukubwa ntamuuliza fundi ili niwe nauhakika zaidi