Ujasiri umejipotea ghafla

whitehorse

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2009
Posts
2,570
Reaction score
4,450
Hello Chit Chats

Jamani jamani K kumbe inasura mbaya nina kastory kananiumiza kichwa nimevurugwa kisaikolojia kutokana maumbile ya hii eskanunu ahahahahah

Yaani mimi K yangu imejaa mashavu ni manene mwili wangu kwa sasa ni wakawaida ila huwa nanenepa na kuna wakati huwa napungua ila K yangu huwa inabaki vile vile mashavu manene . Hata nilishaacha kuvaa nguo tight kwa sababu ni aibu haswa hapa kwa mbele K inajichora na kutuna sana inaonekana wazi wazi so niliachaga kuvaa hizo.vitu za kubana maana ukipita njiani watu wanakodolea macho kitumbua nikacha kuvaa hizo nguo za kuchoresha kitumbua changu .

Tuje kwenye point sasa. Kwenye mahusiano yangu yaliyopita na ya sasa nimekuwa nikisifiwa sana na huu mtuno wa kipochi changu walioingia hapa walielezea utamu wa kitmbua chenya ujazo huu . mwezi uliopita nikasema hizi sifa zimezidi huyu mshika dau wasasa ndio amenifanya nitafute kioo nijichungulie huku kwa niaba yangu.

Woooooiiii nimekutana na kitu cha ajabu nusu nikimbie yaani kumbe inatisha kile kidude cha kati kimekaa kama ulimi wa kenge mishavu utadhani misikio ya kondoo waliotelekezwa halafu kuna rangi nyekundu huko katikati kama donda la moto hivi nimejiuliza sifa za hii K ni nini jamani kinatisha uweeeh

Tangu nimeitazama kwenye kioo nimekosa raha sina tena ujasiri hata huyu mjuba akisema anataka kuzama chumvini najikuta namkatalia ameanza kuhisi kama labda sipendi tena ila ile sura ya K yangu inanijia kichwani naona haiwezekani tena kuofurahia . Kidubwasha kinatisha hiki woooiyeee
Naanza kupoteza mvuto na rmambo za romance kabisa
Najuta kujichunguza 🥲🥲
 
Weka kapicha ka hiko kipochi tuone huo mtuno isije ikawa una ugonjwa mbaya humu kuna madaktari bingwa wakushauri mapema!
 
Tukusaidiaje whitehorse ,Aliyekuumba ni mjuzi kuliko wewe. Ridhika ulivyo na Kwa huu uzi wako umefikirisha sana
 
Bila picha ni soga tu za mjombakaka😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…