Born Star
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 365
- 257
Wana jamiiforums kuna jambo la muhimu kwa watumiaji wa mtandao wa tigo nataka kushare nanyi
ukipigiwa simu na huduma kwa wateja wa tigo kuhusu huduma yoyote na wakakwambia bonyeza kitufe chochote kupata huduma hii usikate simu maana ukikata unakuwa umeshabonyeza kitufe kwa hiyo wanakuunga kwenye huduma hiyo
huo ndio ujanja na utapeli wao ni bora wangekuwa wanasema bonyeza moja kuungwa kwenye huduma hii lakini kusema bonyeza kitufe chochote wanakuwa wamekutega hata ukikata simu unakuwa umeshabonyeza kitufe
usikate simu mpaka wao wakate wenyewe
ukipigiwa simu na huduma kwa wateja wa tigo kuhusu huduma yoyote na wakakwambia bonyeza kitufe chochote kupata huduma hii usikate simu maana ukikata unakuwa umeshabonyeza kitufe kwa hiyo wanakuunga kwenye huduma hiyo
huo ndio ujanja na utapeli wao ni bora wangekuwa wanasema bonyeza moja kuungwa kwenye huduma hii lakini kusema bonyeza kitufe chochote wanakuwa wamekutega hata ukikata simu unakuwa umeshabonyeza kitufe
usikate simu mpaka wao wakate wenyewe