joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Shenzi sana huyu, akachukue mahindi Zambia. Amechanvia sana kutuharibia soko la mahindi eti mahindi ya Tz machafu akawa anaagiza Zambia. Leo Zambia wana upungufu wa mahindi anajifanya watu wake hawajui kulima. Hakuna mwaka Kenya ilishajitosheleza kwa nafaka. Na wakenya wanajifanya wameendelea sana na kutudharau Watz. Mtakula jeuri yenu plus alshabab.President Uhuru Kenyatta now admits that Kenya cannot feed itself : SDV.
My take: Tunawaomba majirani zetu mje kujifunza jinsi ya matumizi bora ya ardhi. Rais wenu anakiri kwamba ardhi ya Kenya haitumiki vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si nyie wake zetuKwani kuna kitu hao watu wanaweza kufanya vizuri bila ya kusimamiwa na mabwana zao wazungu?
Analindwa na officers kutoka recce company na special forces from army.Rais Uhuru analindwa na askari wa Navy???? hii ni ajabu sana aisee
bora huyo jirani anasema ukweli kuliko huyu wetu na kutulisha matango pori kila uchwao...President Uhuru Kenyatta now admits that Kenya cannot feed itself : SDV.
My take: Tunawaomba majirani zetu mje kujifunza jinsi ya matumizi bora ya ardhi. Rais wenu anakiri kwamba ardhi ya Kenya haitumiki vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upimbi wewe, msikilize katika clip ya video anavyolalamika na kuwaonya wakenya hapo juu, wewe onyesha nchi yoyote duniani, zisizokua nchi za uarabuni ambazo hutegemea chakula cha kununua, hivi Kenya mnaweza kutegemea chakula cha kununua toka nje ya nchi kuwalisha wananchi wenu wa Samburu, Wajir, Pokot na kwengine note?, sasa fungus hiyo link na usome reactions za wakenya wenzako hapo nchini. Kama kuna nchi ya dunia ya tatu inayotegemea chakula cha kununua kutoka nje ya nchi, yaani inatumia foreign currency kununua chakula, hiyo nchi lazima ni failed state.Hivi wewe mleta mada huwa unasoma kwanza na kuelewa hizi taarifa kwenye hizi links ambazo huwa unazitupia humu? Rais Uhuru Kenyatta alisema kwamba Kenya bado inategemea imports(ambazo inanua) za vyakula ili kujitosheleza. Sasa hapo kuna nini cha ajabu wakati inafahamika wazi kwamba ardhi ambayo ina rotuba ya kutosha kuzalisha vyakula kwa uhakika Kenya ni 9% tu. Yaani 91% ya Kenya ni 'arid'/jangwa na 'semi-arid'.
Kwa hivyo wewe hapo ni raia wa failed state? Kwasababu navojua Tz sio 'food sufficient', yaani hamjitoshelezi kwenye masuala ya lishe. Huoni aibu ukiinyoshea kidole nchi ambayo ni jangwa kwa 91% huku ukifumbia macho matatizo ya nchi yako ambayo ina ardi yenye rotuba na mvua ya kutosha?Acha upimbi wewe, msikilize katika clip ya video anavyolalamika na kuwaonya wakenya hapo juu, wewe onyesha nchi yoyote duniani, zisizokua nchi za uarabuni ambazo hutegemea chakula cha kununua, hivi Kenya mnaweza kutegemea chakula cha kununua toka nje ya nchi kuwalisha wananchi wenu wa Samburu, Wajir, Pokot na kwengine note?, sasa fungus hiyo link na usome reactions za wakenya wenzako hapo nchini. Kama kuna nchi ya dunia ya tatu inayotegemea chakula cha kununua kutoka nje ya nchi, yaani inatumia foreign currency kununua chakula, hiyo nchi lazima ni failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
Egypt ni jangwa zaidi ya Kenya, lakini inajitosheleza kwa chakula. Rais wako mwenyewe anasema anategemea chakula toka Tanzania, wewe unasema hatujitoshelezi kwa chakula, nenda kaa na rais wako muelewane uje kivingine. Tanzania hoyeeeeeee.Kwa hivyo wewe hapo ni raia wa failed state? Kwasababu navojua Tz sio 'food sufficient', yaani hamjitoshelezi kwenye masuala ya lishe. Huoni aibu ukiinyoshea kidole nchi ambayo ni jangwa kwa 91% huku ukifumbia macho matatizo ya nchi yako ambayo ina ardi yenye rotuba na mvua ya kutosha?
Kwa hivyo wewe hapo ni raia wa failed state? Kwasababu navojua Tz sio 'food sufficient', yaani hamjitoshelezi kwenye masuala ya lishe. Huoni aibu ukiinyoshea kidole nchi ambayo ni jangwa kwa 91% huku ukifumbia macho matatizo ya nchi yako ambayo ina ardi yenye rotuba na mvua ya kutosha?
Acha umburula. Kwani Kenya huwa haiuzi vyakula nje ya nchi? Tena inaongoza Afrika kwenye 'exports' ya bidhaa nyingi k.m. maparachichi, macadamia. Kuwa 'food sufficient' sio kumaanisha kwamba unauzia nchi zingine vyakula. Ulisoma hadi darasa la ngapi jombaa? Egypt ni jangwa zaidi ya Tanzania pia, tena kwa mbali sana, ila hutasikia hata siku moja watoto wao wakila kinyesi.Egypt ni jangwa zaidi ya Kenya, lakini inajitosheleza kwa chakula. Rais wako mwenyewe anasema anategemea chakula toka Tanzania, wewe unasema hatujitoshelezi kwa chakula, nenda kaa na rais wako muelewane uje kivingine. Tanzania hoyeeeeeee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Povu ni la mtu kama wewe ambaye huwa anauza kura yake kwasababu ya sahani moja ya wali na maharage. Sio mimi jombaa, mimi najadili tu hojaless ya uzi huu, huku nikimuelimisha huyu kibwengo mwenzako.
Hahahaha, kwahiyo rais wako anavyolalamika kwamba Kenya haiwezi kujilisha inategemea Uganda na Tanzania, na kuonya kwamba hali itazidi kuwa mbaya zaidi siku zijazo alikua amevuta bhangi sio kweli?. Tanzania hoyeeeeAcha umburula. Kwani Kenya huwa haiuzi vyakula nje ya nchi? Tena inaongoza Afrika kwenye imports ya bidhaa nyingi k.m. maparachichi. Kuwa 'food sufficient' sio kumaanisha kwamba unauzia nchi zingine vyakula. Ulisoma hadi darasa la ngapi jombaa? Egypt ni jangwa zaidi ya Tanzania pia, tena kwa mbali sana ila hutasikia watoto wao wakila kinyesi.