Uhuni wa Dstv

Halafu wanasema visimbusi tofauti ya matoleo vina uangavu tofauti
 
Tupe udambwidambwi Mkuu,inakuwaje hii?
Weka TP mzee baba...
Pitia huu Uzi
 
😂😂😂 na wanajua muda wa kuchomoa betri.... England Vs Ukraine hamtaiona
 
Hao Dstv ni wapuuzi sana, wanashusha signal kwa makusudi ili chaneli za HD zionyeshe scratch, ukienda na decoder yako waiangalie wanakwambia ni mbovu kutengeneza elf 30, chaneli wanaweka wanavyojisikia, mfano ile ya Euro HD wameiondoa bila taarifa yoyote.......hivi hawa Dstv wanafanya wanavyojisikia kana kwamba wapo juu ya sheria? TCRA hawaoni...
 
Kumbe...kuanzia saa kumi mpaka saa moja ch224 ilikuwa na scratch sasa hivi iko clear. Ina maana wanafanya kusudi?!!
 
Dish la Dstv Sasa hivi nimelielekeza Astra 2 nyuzi 28°.2, nacheki Euro Kama kawaida free of charge... kisimbuzi Chao nimekipaki mwezi wa tatu huu.
Kwa nyuzi hizo unatumia kisumbuzi gani kupata channel zingine. Na mimi nina hiyo Dstv haina kazi.

DSTV wapuuzi sana.
 
Mpaka uwe na kisimbuzi cha fta (receiver) au tv iliyo na fta receiver ndani na uwe mikoa ya Kanda ya ziwa au magharibi ya tz. Au kwa mikoa mengine unaweza ukatumia sateliye ya Nss 12 nyuzi 57° mashariki inayopatikana tz nzima
Kwa nyuzi hizo unatumia kisumbuzi gani kupata channel zingine. Na mimi nina hiyo Dstv haina kazi.

DSTV wapuuzi sana.
 
Mpaka uwe na kisimbuzi cha fta (receiver) au tv iliyo na fta receiver ndani na uwe mikoa ya Kanda ya ziwa au magharibi ya tz. Au kwa mikoa mengine unaweza ukatumia sateliye ya Nss 12 nyuzi 57° mashariki inayopatikana tz nzima
Nina dstv na tv yangu ina kingamuzi cha ndani n,niko nachingwea mkoa wa lindi je nitapata
 
Mpaka uwe na kisimbuzi cha fta (receiver) au tv iliyo na fta receiver ndani na uwe mikoa ya Kanda ya ziwa au magharibi ya tz. Au kwa mikoa mengine unaweza ukatumia sateliye ya Nss 12 nyuzi 57° mashariki inayopatikana tz nzima
Hii fta n nn mkuu tupe elimu
 
Dish la Dstv Sasa hivi nimelielekeza Astra 2 nyuzi 28°.2, nacheki Euro Kama kawaida free of charge... kisimbuzi Chao nimekipaki mwezi wa tatu huu.
Umetumia kisimbuzi gan mkuu kufanya utundu huo
 
Hawa jamaa wameshakua wahuni siku hz ...mwenye maujanja ya FTA atoe Elimu hapa ..me Tv yangu Ina internal antena
 
Hawa jamaa wameshakua wahuni siku hz ...mwenye maujanja ya FTA atoe Elimu hapa ..me Tv yangu Ina internal antena
Yakifika mashindano fulani ndo unaona signal zinasumbua, ukienda na decoder ofisini kwao lazima wakwambie mbovu utoe elf 30 ya kutengeneza, kumbe ni ujanja ujanja tu wa kupiga hela....TCRA msilale hapo fuatilia hawa wahuni.
 
Nimewaripoti TCRA, nitawapa mrejesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…