Ukisikia wahuni sio watu. Basi ndio hii. Kundi dogo la watu 14, liliongozana kwenda kwenye ofisi za chama likidai, wakazi wa Bunju. Wanalia sana kwa kuondolewa jina la Diwani Kheri Misinga, jambo ambalo ni la kihuni linatakiwa likemewe, madiwani wengi wastaafu, walikuwa wakiunda magroup ya vijana kwenda kulalamika maofisi ya chama, CCM chunguzeni aibu hii.
Kuhusu kwaninini wanabunju hawampendi diwani wao, hilo sio jukumu langu, ila wakae wakijua huyu diwani hatakiwi kabisa. Wengi wanajua, anapambania nafasi yake KMC lakini kwenye kazi za udiwani hakufanya lolote.