Okey mimi nakushauri nenda karipoti kwanza halafu fanya process ukiwa huko. Maana ninavyojua mimi ni kwamba wizara ikishakupangia mamlaka juu ya mtumishi huyo inabakia kwa halmashauri husika.
Okey mimi nakushauri nenda karipoti kwanza halafu fanya process ukiwa huko. Maana ninavyojua mimi ni kwamba wizara ikishakupangia mamlaka juu ya mtumishi huyo inabakia kwa halmashauri husika.
chief nlishakushaur nenda wizara uongee na watu ww ni ajira mpya na bado hujareport mbona hlo linawezekana bosi wangu,afisa utumishi atakuelewa tu na utapewa barua nyingine fasta,usiwe muoga bosi wangu.
chief nlishakushaur nenda wizara uongee na watu ww ni ajira mpya na bado hujareport mbona hlo linawezekana bosi wangu,afisa utumishi atakuelewa tu na utapewa barua nyingine fasta,usiwe muoga bosi wangu.