WADAU HABARI ZENU... HIVI UHAMISHO WA WATUMISHI WA UMMA WA MWEZI HUU MBONA HAWATANGAZI NA MWEZI UNAENDA KUKATA HIVYO... WALITOA MAJINA YA MWANZO LAKINI MPAKA SASA NI KIMYA MAJINA YA AWAMU YA PILI AMBAYO YALIPELEKWA NA MAKATIBU TAWALA MIKOA
WADAU HABARI ZENU... HIVI UHAMISHO WA WATUMISHI WA UMMA WA MWEZI HUU MBONA HAWATANGAZI NA MWEZI UNAENDA KUKATA HIVYO... WALITOA MAJINA YA MWANZO LAKINI MPAKA SASA NI KIMYA MAJINA YA AWAMU YA PILI AMBAYO YALIPELEKWA NA MAKATIBU TAWALA MIKOA
Una maanisha TAMISEMI au vinginevyo? km ni hao kwa kweli wanaboa na wameshindwa kwenda na kasi ya Mhe Jaffo. Utaratibu wao ni kutoa majina Januari na Julai. Nimepata taarifa majina ya Julai yatatoka Septemba 2018.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.