Uhamiaji vipi jamani?

Jamani mm nimesikia leo redioni kuwa Rais JK kateua kamishina mpya wa zimamoto na uhamiaji ivyo zamu yetu inakaribia ivyo tuwe wapole hadi tarehe 27/5/2014
 
hahahah! kwel jobs noma mda wote huo tunasubiria nafasi 70..........me nipo hapa ninajifariji na wimbo wa nick wa2, sitaki...........!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…