Msijali tulikuwa tunangoja bajeti ya wizara yetu, kwani kulikuwa na upungufu wa pesa hvo tuko katika hatua za mwisho kuanda majina yetu, kila mmoja ana nafasi sawa ya kupata kazi kwani mwaka huu hatujapata vimemo kutoka kwa vigogo. Nawashukuru naombeni muendelee na kilimo huko mliko