Ugonjwa wetu ni nini hasa?!!

Ugonjwa wetu ni nini hasa?!!

Joined
Dec 3, 2012
Posts
55
Reaction score
20
Nimefikiri sana..kwa nini huyu El anachukiwa sana na watz fulani yani nimeishia kupata wazimu..NAJIULI ZA JE,
-Kipi nafuu, kuongozwa na maskin limbukeni au tajiri mwerevu?!
-Ni siri gani amebeba huyu Edo,kiasi cha kina MKAPA kupanic na kuropoka ovyo kwa woga na hofu?!
-Je, Lowassa ni mkimbizi au mhaini kias cha kukosa haki ya kuchagua na kuchaguliwa kwa uhuru?
-Au Lowassa ndio mtu muovu kuliko Watz wote kwa sasa?! Na kama ni ivo, mamlaka ilishikwa kigugumiz gan kutomshitaki na kuishia kunung'unika tuu muda wa miaka 8?!
-Ama labda demokrasia na multipartism ni uhaini kwa taifa...NA JE Nini hasa maana ya kuwa na kampeni ya kuomba kura, au kuwa chama cha upinzan ni kuwa MUASI na MUHUJUMU UCHUMI?!
- Na Je, Watz tunaelewa ni nini hasa kiini cha uozo na hali mbovu ya zaidi ya 50 years?!..ama ni kweli kuwa wengi wetu ni MALOFA na WAPUMBAVU kwa kukubali kupumbazwa, kuzubaishwa na kuporwa viongozi wazuri kama SOKOINE, KOLIMBA waliokataa kuburuzwa na MAHAFIDHINA &MAFISADI...kisha tunasherekea 'iyenaiyena' kujipga kitanzi kwa mikono yetu wenyewe?!
#NAJIULIZA_SANA_ Why?!!_ tutaendelea na ufedhuli_ huu_mpaka_liniii ?!!
 
Kamanda umesahau msemo usemao mti wenye matunda....,..
 
Tanzania kawaida hatuchagui RAIS tumtakaye,bali tunachaguliwa Rais na RAIS atokaye MADARAKANI hilo ndilo tatizo.Na watanzania tumepumbzwa hatujui kuwa kamwe hatutakuja kuchagua RAIS kama hatutakuwa na UHURU kamili wa kuchagua kiongozi tumtakaye.

Ule wimbo wa LAZIMA tushinde kwa kishindo kwa njia yoyote ile utaendelea mpaka ASKARI wetu,viongozi wetu,wanaCCM watakapojua kuwa WATANZANIA wote ni sawa,tunatofautiana namna yakufikrira tu.Mpaka tuje tuheshimiane kuonekana kwamba ITIKADI ni kama kushabikia SIMBA na YANGA,na SI UADUI.
 
Back
Top Bottom