Ugonjwa wangu ni weupee...

Mr Eggo

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,028
Reaction score
1,052
Wasalaam wana mmu...
Bas wadau mi msichana akiwa mweupe loooh hoiii...hua nawaza kama uson au mikoni ni meupe kiac icho je panapofichwa!!!

Hii imeniathiri kiasi cha kunifanya niwe na list ya wadada weupee tuu ingawa i preffer natural si ya carolite...

Kwan we rang gan unakutoa pangon!..kwa ote me na ke
 

Mimi kama mtaalamu wa mapenzi nawashauri wanaume weupe big no.
Mkitaka sababu nitawapa...
 
we naweza nikakuacha na house girl wangu bila shida!
 
Nahisi angekuwepo wa blue ingekuwa poa sana maana huwa nikiona hiyo rangi dah inanimaliza mi hoiiiii....!

Mbona rang iyo wapo...ongeza juhud utawapata...
 
Mi napenda dem mweusi kbs ila natural one,tena awe mfupi aliyejazia aisee duh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…