Ugonjwa wa Tumbo kujaa maji

Ugonjwa wa Tumbo kujaa maji

Poleni sana.
Mi naona kama hawakuweza kusema tatizo watakua na upungufu mkubwa wa ujuzi. Hospitali kama muhimbili sina shaka kuweza wao kujua tatizo sema wanaweza kuona ni tatizo hawana uwezo kutibu. Kwa mfano zipo cancer aina mbalimbali za tumboni kama kwenye wengu, ini, uzazi au tumbo lenyewe husababisha kujaa maji.
Yafaa kueleza hali halisi ya ugonjwa kwa jamaa zake.
Ugonjwa haukujulikana mkuu, si Muhimbili wala TMJ hospital. pale TMJ baada ya kufeli kwenye vipimo walitwambia labda ni TB na walimuanzishia dozi lakini haikusaidia.
 
Asante sana mkuu,
Na alifariki pembeni akiwa na mtungi wa gesi, lakini mbona Madaktar walishindwa kutambua huo ugonjwa!? Na awali walimwanzishia dozi ya TB, haikusaidia.
Misdiagnosis due to poor training labda
 
Back
Top Bottom