Degenerative diseases mara nyingi zinaambatana na kurithi kinasaba (genetics).Kama kwenye ukoo wenu kuna wenye kuathirika zaidi na hali hii basi chances are nawe utapata zahama hiyo. Kwenye arthritis inashauriwa kuchunga uzito maana huu huweka tension hasa kwenye mifupa ya magoti kusuguana na kuleta maumivu. Utu uzima unapoingia utaumia zaidi kuliko yule aliyechunga uzito wake.Mazoezi pia ni muhimu.Wanawake hasa wenye umri mdogo kunyweni maziwa na kutumia calcium supplements maana wanawake hupata athari zaidi hasa wafikiapo menopause kwa vile mifupa huanza kuwa hafifu.