ABBYA
Senior Member
- Mar 22, 2016
- 169
- 122
Habari wana jf, nina mjomba ambaye Ana tatizo la kisukari, kwa sasa Ana kidonda ktka mguu ambacho kilitokana na kuchomwa sindano.
Naomba kujua kama kuna mtu ambaye amewahi kupitia changamoto hii, na alikabiliana nayo vipi kupata tiba ya kidonda na mtu anayefahamu dawa ya asili please anisaidie!
Naomba kujua kama kuna mtu ambaye amewahi kupitia changamoto hii, na alikabiliana nayo vipi kupata tiba ya kidonda na mtu anayefahamu dawa ya asili please anisaidie!