ugomvi gani huu....?

Duh, hiyo kaptula ni ushahidi tu, hakuna nguo. Mpaka ugomvi ukiisha kaptula itakuwa kwenye visigino
 
Huyo mwenye nyekundu atakuwa Mkurya na huyo aliyeelekeza mkono pasipoenekana haraka ni muha. Hahahahaaaa.
 
Hizi ndo ndundi gani sasa jamani?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

huwa najiuliza kwanini wavulana/wanaume wakipigana hukimbilia kushika p.u.m.b.u au m.b.o.o ya mwenzake, wanafurahia kushikana au ndo eneo la mashambulizi? tangu nasoma primary nimeshuhudia hii hadi huko mitaani hata huyo mwenye boksa ya draft kakimbilia huko kwa mwenzake.
nahisi mmoja wao kafumaniwa asubuhi asubuhi ndo maana wako na boksa kaaz kweikwei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…