Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.“#Corona mpaka sasa hivi haijaua mtu hata mmoja hapa #Tanzania…lakini tunatishana sana…ninaanza kupata wasiwasi kwamba inafika mahali mpaka watu tumeanza kumsahau Mungu,” - Rais Magufuli alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu la Jimbo Kuu Katoliki la #Dodoma.
RAIS MAGUFULI: IMEFIKIA MAHALI WATU WANAOGOPA HATA KWENDA KANISANI
“Imefikia mahali watu wanaogopa hata kwenda kanisani…msikitini wakihofia watapata #Corona.
Ninaweza nikafikiria kwa mawazo yangu madogo kwamba katika kipindi ambacho shetani ameutawala ulimwengu ni kipindi hiki,” – Rais Magufuli.
RAIS MAGUFULI ATAKA WATANZANIA WASITISHANE NA CORONA
“Watu tusitishane, tunatishana mno. Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu” - Rais Magufuli.
#CoronaVirus #CoronaOutbreak #MagufuliCorona #CoronaUchumi #CoronaTanzania
Boss leo kasema corona isitutisheLengo la Magufuli na serikalo yake mpaka sasa sijaelewa ma nchi hii ni tajiri tunaogopa nini kufinga mipaka kukabiliana na corona?
Nji jirani wamwpiga marufuku kuingia wala kutoka katika nchi zao sie kimyaa.
Kwa mfano mseven yeye kapata raia mmoja kaambukizwa keshachukua hatua.
Ila cha ajabu nashangaa tanzania tunaita viongozi wa dini eti waombee taifa, ivi kule Roma kanisa lilimo anzia ndio wamekufa kuliko wachina hawana viongozi wa dini? Kwa n hawakuombea Italia wapone?
China aliweza kujenga hospital ndani ya siku 7 sie tunakalia ngonjera za kunawa mikono
Zanzibar wamezuia wageni.... au unazungumzia Tanzania ipi?Lengo la Magufuli na serikalo yake mpaka sasa sijaelewa ma nchi hii ni tajiri tunaogopa nini kufinga mipaka kukabiliana na corona?
Nji jirani wamwpiga marufuku kuingia wala kutoka katika nchi zao sie kimyaa.
Kwa mfano mseven yeye kapata raia mmoja kaambukizwa keshachukua hatua.
Ila cha ajabu nashangaa tanzania tunaita viongozi wa dini eti waombee taifa, ivi kule Roma kanisa lilimo anzia ndio wamekufa kuliko wachina hawana viongozi wa dini? Kwa n hawakuombea Italia wapone?
China aliweza kujenga hospital ndani ya siku 7 sie tunakalia ngonjera za kunawa mikono
Lengo la Magufuli na serikalo yake mpaka sasa sijaelewa ma nchi hii ni tajiri tunaogopa nini kufinga mipaka kukabiliana na corona?
Nji jirani wamwpiga marufuku kuingia wala kutoka katika nchi zao sie kimyaa.
Kwa mfano mseven yeye kapata raia mmoja kaambukizwa keshachukua hatua.
Ila cha ajabu nashangaa tanzania tunaita viongozi wa dini eti waombee taifa, ivi kule Roma kanisa lilimo anzia ndio wamekufa kuliko wachina hawana viongozi wa dini? Kwa n hawakuombea Italia wapone?
China aliweza kujenga hospital ndani ya siku 7 sie tunakalia ngonjera za kunawa mikono
Sometimes ni vizuri kuweka akiba ya Maneno na pia uje China walijitahidi kuficha hali halisi ya ugonjwa ila ilifika hatua wakasalimu amri.Sisi sio waoga kama kunguru.
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.
Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease
P
kama majirani zetu wamefunga mipaka na sisi baadhi yetu ya mipaka imeshajifunga hakuna Tatizo ila juzi Kagere karudi Rwanda sijui kapitia mpaka gani?
Tunahitaji kuwalazimisha viongozi wetu kufunga mipaka. Waache kuchezea uhai wa wananchi kitoto. Janga la Corona virus si la mchezo. Likizuka hapa nchini hatuna uwezo wowote wa kupambana nao. Tuache ushamba na ulimbukeni wa kiuongozi kwenye uhai wa raia.