Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Lengo la Rais Magufuli na serikali yake mpaka sasa sijaelewa na nchi hii ni tajiri tunaogopa nini kufunga mipaka kukabiliana na Corona?
Nchi jirani wamepiga marufuku kuingia wala kutoka katika nchi zao sie kimya.
Kwa mfano Museveni yeye kapata raia mmoja kaambukizwa keshachukua hatua.
Ila cha ajabu nashangaa Tanzania tunaita viongozi wa dini eti waombee taifa, hivi kule Roma kanisa lilimo anzia ndio wamekufa kuliko wachina hawana viongozi wa dini? Kwani hawakuombea Italia wapone?
China aliweza kujenga hospitali ndani ya siku 7 sie tunakalia ngonjera za kunawa mikono
Nchi jirani wamepiga marufuku kuingia wala kutoka katika nchi zao sie kimya.
Kwa mfano Museveni yeye kapata raia mmoja kaambukizwa keshachukua hatua.
Ila cha ajabu nashangaa Tanzania tunaita viongozi wa dini eti waombee taifa, hivi kule Roma kanisa lilimo anzia ndio wamekufa kuliko wachina hawana viongozi wa dini? Kwani hawakuombea Italia wapone?
China aliweza kujenga hospitali ndani ya siku 7 sie tunakalia ngonjera za kunawa mikono