Ufunguzi wa kampeni za mtaa wa ubungo

Ufunguzi wa kampeni za mtaa wa ubungo

unbwogable80

Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
57
Reaction score
10
Yami kampeni ndiyo rasmi zimefunguliwa rasmi ila turnout inakatisja tamaaa mana no wachache na blaj blah nyingi mnooo
 

Attachments

  • 1417876148167.jpg
    1417876148167.jpg
    59.4 KB · Views: 512
  • 1417876176450.jpg
    1417876176450.jpg
    54.4 KB · Views: 395
  • 1417876195260.jpg
    1417876195260.jpg
    80.4 KB · Views: 396
hawa wana ukoo wanafanya nini hapo
 
Unbwogable80 mbona umepiga jukwaa kuu peke yake? Ungetuonyesha na idadi ya watu waliohudhuria tungekuamini lakini kwa hili tumekustukia na ucdm wako ukitaka kuwalaghai watz...hatudanganyiki
yami kampeni ndiyo rasmi zimefunguliwa rasmi ila turnout inakatisja tamaaa mana no wachache na blaj blah nyingi mnooo
 
Ufunguzi wa.kampeni za uchaguzi wa mtaa wa ubungo
 

Attachments

  • 1417876920862.jpg
    1417876920862.jpg
    52.5 KB · Views: 271
  • 1417876934432.jpg
    1417876934432.jpg
    65 KB · Views: 236
Nadhani umeona sasatent la kushoto uwanjani halafu kuna julwa kati then tent lingine..na ndiyo wanamaliza kampeni hakuna kipya
 
Vijana wa CCM Ubungo hawakuridhishwa na jinsi mchakato wa kura za maoni ulivyoendeshwa, hivyo sitoshangaa Chadema ikishinda kiulaini, ingawa wanamtafuta mgombea wa chadema wambambikizie kesi.
 
Mambo yameenda kiujanja tu hao wagombea wa ujimbe wa ccm hakuna hata cha mana....huyo mwenyekiti miaka yote akiitisha kikao cha wakazi aliilizwa kuhusu mapato na matimizi anabadilika ranging na mkutano huarishwa...Leo anasema nini?
 
Back
Top Bottom