ufumbuzi wa cm kuzima.

ufumbuzi wa cm kuzima.

vicnyanda

Member
Joined
Jun 19, 2015
Posts
32
Reaction score
4
ndg zang wana jf, najua humu wataalamu wa maswala ya IT mmo, leo nilikua nafanya updation ya OS ya cm angu aina ya sony xperia j, baada ya kumaliza kufanya updation nkawa na install hyo update ya os, cm ikaji restart then ikaanza kuinstall update ikawa ina load kwa muda mrefu mwisho ikafail mpaka sasa cm haiwaki, ukiwasha inawaka kidogo then inadhima na kuonyesha kana kwamba haina OS tena... nisaidien kutatua hili tatzo
 
Back
Top Bottom