Si umpe ABCD's hizo, lakini kwa kifupi ufugaji ea samaki unahitaji.
1.Mbegu bora Sato/Kambale
2.Chakula bora (size,nutrient requirement, n.k),inatokana na aina ya ufugaji unaohitaji/fanya.
3.Eneo bora, lisilo na mafuriko, migogoro, linalofikika n.k.
4.Maji bora, yenye Oksijen ya kutosha, pH sahihi n.k.
Muhimu
i.Samaki(Sato uchukua miezi sita kufikia 500g)
ii.Samaki(Sato-madume), huleta tija zaidi kulinganisha na majike.
iii.Chakula cha samaki complete feed kilo moja ni 3500.
iv.Hii ni dondoo nakupa Sato ana life-span ya miaka 9, urefu wa 60cm na ufikia mpaka 4.3kg kwa muda huo.
Mwisho:Sekta bado inakua.