Kama ni hivyo inabidi niwaogope kuwala hawa ndege. Miezi mitano tu kuwa tayari na ule ukubwa uliotuambia wa kilo 15 ina maana wanalishwa madawa sana ambayo ni hatari kwa afya zetu.
Aisee waambie watu ukweli ufugaji wa bata mzinga sio rahisi kama watu wanavyofikiri. Kazi ya kuwalea vifaranga wa bata mzinga ni ngumu sana na inahitaji umakini wa hali ya juu, death rate ya vifaranga wa bata mzinga ipo juu.
Aisee waambie watu ukweli ufugaji wa bata mzinga sio rahisi kama watu wanavyofikiri. Kazi ya kuwalea vifaranga wa bata mzinga ni ngumu sana na inahitaji umakini wa hali ya juu, death rate ya vifaranga wa bata mzinga ipo juu.