Ufisadi wa Samweli Sitta umevuka viwango na kasi

Ufisadi wa Samweli Sitta umevuka viwango na kasi

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Mbunge wa Urambo, Samwel Sitta almaarufu kama "Mzee wa Viwango na kasi" kama anavyojiita. Mara zote Sitta ambaye aliwahi kuwa spika wa Bunge hupenda kuzungumzia masuala ya ufisadi ili kujiosha na kujipambambanua uadilifu wake.

Siku zote maneno ya Sitta hayaendani na matendo yake. Anajipambanua kupinga ufisadi wakati ana punje za ufisadi mdomoni mwake.

Twende taratibu hapa kwa kuweka kumbukumbu sawa.

Wakati akiwa Spika alikuwa akimtumia msaidizi wake kuchota pesa lukuki kwa kisingizio cha safari za ndani na nje ya nchi. Mathalani amekuwa akichukua shilingi milioni tano (5,000,000/-) kwa safari za ndani; na kuchukua jumla ya Tsh. milioni kumi na tano (15,000,000/-) kwa safari za nje. Amekuwa akichukua pesa hizo pasipo kuleta marejesho ya risiti za matumizi ya fedha hizo. Huu si ufisadi jamani? Uadilifu wa matumizi ya pesa za umma anaojitapa nao Sitta upo wapi hapa?

Ni Sitta huyu huyu amekuwa akipeleka risiti feki za matibabu ya afya yake ambapo kwa kila wiki alikuwa akichota milioni mbili (2,000,000/-) na ilifika kipindi alikuwa akinunua kidonge kimoja cha panadol kwa Tsh. milioni moja. Huu si ufisadi jamani?

Lakini ufisadi mkubwa wa Samwel sitta ni kutumia fedha za serikali vibaya kwa kujenga ofisi ya speaker jimboni kwake urambo akidhani atakuwa spika maisha sasa nani anakwenda kutumia ofisi hiyo?

Ikumbukwe Sitta aling'ang'ania utukufu wa kujengewa nyumba ya kifahari ya takribani milioni 500 iliyojaa fenicha (samani) za gharama kubwa si chini ya
million 150 tena katika jimbo lake. Huu ni ufisadi uliovuka viwango na kasi kufanywa na Sitta.

Ni Sitta huyu huyu ambaye mpaka sasa ameikataa nyumba ya serikali na kuamua kwenda kuishi Masaki mtaa wa Chole road. Kwa wale wasiojua ile nyumba ulipiwa na ofisi ya Mbunge kwa mwezi usd 15,000 (takribani milioni 30) kwa mwezi wakati ile nyumba hati yake imeandikwa ni mali ya Mke wake Magreth Sitta. Huu ni mwendelezo wa ufisadi unaofanywa na Sitta.

Bado nakupa matukio ya kifisadi ya Sitta. Ni Sitta huyu huyu anayejifanya malaika amezunguka nchi nzima akihonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM kiasi cha shilingi laki mbili (200000/-) Nchi nzima. Usafi wa Sitta uko wapi hapa?

Pia ikumbukwe mwaka 2010 alimshauri mke wake kuhonga simu kwa kila mpiga kura Tabora zikiwa ndani zimewekwa fedha ili achaguliwe ubunge. Sitta huyu ni muhuni wa kupuuzwa na hana tone lolote lile la uadilifu.

Swali la kujiuliza hizi fedha zote anazotumia kuhonga vimada wake, kuhonga wajumbe wa vikao anazitolea wapi? Kama amekopa, atarudishaje? Kwa sababu hauwezi kumnunua mjumbe bila ya yeye Sitta kununuliwa!!

Sitta anajinasibu uadilifu wa kutokuwa fisadi wakati uhalisia wake ana punje za ufisadi mdomoni. Matendo yake yanaonyesha ni agent wa ufisadi nchini aliyenunuliwa ili kuiuza nchi mikononi mwa matapeli, wanyonyaji na wahujumu uchumi.

Tuwe macho na Sitta, wakala wa ufisadi nchini.
 
Wacha atumie fursa vizuri, mitanzania yenyewe ndio imelala hivi,ccm kula nchi october yaja lkn.
 
Mkuu jakibinda, inaonekana una chuki binafs na Mr 6 vinginevyo umetumwa na maadau Wa 6 coz uongo ni mwingi kuliko ukweli. Umeongozwa na kuchochewa na chuki binafs ktk kuandka thread hii maana accusations nyingi hazina ushahidi. Its just a guess work or ur personal opinion not based on research. Nije kuzungumzia accusations 1. Issue ya safari za speaker kuna rates zao, ungeonyesha official rates/per diem Vs alichokuwa akichukua yeye. Sio kulalamika bila facts. Wewe ungekuwa Speaker ungekuwa unachukua ngapi? Una uhakika hakuwa anarudisha/kujaza risiti/remittance? Plse tuaminishe hapa sio maneno matupu ambayo hayavunji Hata mfupa.

2. Kwa issue ya matibabu, panado 1M? Do you have proof on that? Una bahati sheria ya makosa mtandaoni haijaanza kufanya kazi. Ungekuwa mhanga unless uprove beyond reasobale doubts. We assume that ur a great thinker.
3.issue ya kujenga ofisi ya speaker jimboni upo sahihi. Hapo Mr 6 aliingia choo cha kike kama siyo cha jinsia mbili.
4.issue ya kuhonga jimboni ili achaguliwe ni ufisadi. Even though try to have some evidence on it.
5. Lastly, kuhusu nyumba ya kuishi, kila mmoja ana hadhi yake kama kiongozi Wa serikali. Kama alidai nyumba asiyostahili wasingempa. Kama walimpa, it means ni stahili yake. Period.
Ushauri kwako: Katika uandishi wako, epuka kuwa moved na hisia zako juu ya subject. Be neutral and full of research data/evidence. Otherwise THINK as a great thinker, judge as a great judge.
 
Last edited by a moderator:
Nionyeshe MSAFI HATA MMOJA ndani ya CCM, Mimi nitakuonyesha mashetani 20 ndani ya CCM!
 
Nyie ndo mnasababisha sheria ya makosa ya mtandaoni ipitishwe ili kukomesha udaku kama huu, PONADO KUNUNULIWA SHLG 1,MILIONI MOJA?
 
Nyie ndo mnasababisha sheria ya makosa ya mtandaoni ipitishwe ili kukomesha udaku kama huu, PONADO KUNUNULIWA SHLG 1,MILIONI MOJA?

Kuna jumba la frool 3 liko mbweni huwezi amini kama ni la sitta alafu anasema ni mwadilifu mmmh
 
Mada ya kijinga kaweka mjinga hakuna mantiki hata moja kwenye mad hii.
 
Mbunge wa Urambo, Samwel Sitta almaarufu kama "Mzee wa Viwango na kasi" kama anavyojiita. Mara zote Sitta ambaye aliwahi kuwa spika wa Bunge hupenda kuzungumzia masuala ya ufisadi ili kujiosha na kujipambambanua uadilifu wake.

Siku zote maneno ya Sitta hayaendani na matendo yake. Anajipambanua kupinga ufisadi wakati ana punje za ufisadi mdomoni mwake.

Twende taratibu hapa kwa kuweka kumbukumbu sawa.

Wakati akiwa Spika alikuwa akimtumia msaidizi wake kuchota pesa lukuki kwa kisingizio cha safari za ndani na nje ya nchi. Mathalani amekuwa akichukua shilingi milioni tano (5,000,000/-) kwa safari za ndani; na kuchukua jumla ya Tsh. milioni kumi na tano (15,000,000/-) kwa safari za nje. Amekuwa akichukua pesa hizo pasipo kuleta marejesho ya risiti za matumizi ya fedha hizo. Huu si ufisadi jamani? Uadilifu wa matumizi ya pesa za umma anaojitapa nao Sitta upo wapi hapa?

Ni Sitta huyu huyu amekuwa akipeleka risiti feki za matibabu ya afya yake ambapo kwa kila wiki alikuwa akichota milioni mbili (2,000,000/-) na ilifika kipindi alikuwa akinunua kidonge kimoja cha panadol kwa Tsh. milioni moja. Huu si ufisadi jamani?

Lakini ufisadi mkubwa wa Samwel sitta ni kutumia fedha za serikali vibaya kwa kujenga ofisi ya speaker jimboni kwake urambo akidhani atakuwa spika maisha sasa nani anakwenda kutumia ofisi hiyo?

Ikumbukwe Sitta aling'ang'ania utukufu wa kujengewa nyumba ya kifahari ya takribani milioni 500 iliyojaa fenicha (samani) za gharama kubwa si chini ya
million 150 tena katika jimbo lake. Huu ni ufisadi uliovuka viwango na kasi kufanywa na Sitta.

Ni Sitta huyu huyu ambaye mpaka sasa ameikataa nyumba ya serikali na kuamua kwenda kuishi Masaki mtaa wa Chole road. Kwa wale wasiojua ile nyumba ulipiwa na ofisi ya Mbunge kwa mwezi usd 15,000 (takribani milioni 30) kwa mwezi wakati ile nyumba hati yake imeandikwa ni mali ya Mke wake Magreth Sitta. Huu ni mwendelezo wa ufisadi unaofanywa na Sitta.

Bado nakupa matukio ya kifisadi ya Sitta. Ni Sitta huyu huyu anayejifanya malaika amezunguka nchi nzima akihonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM kiasi cha shilingi laki mbili (200000/-) Nchi nzima. Usafi wa Sitta uko wapi hapa?

Pia ikumbukwe mwaka 2010 alimshauri mke wake kuhonga simu kwa kila mpiga kura Tabora zikiwa ndani zimewekwa fedha ili achaguliwe ubunge. Sitta huyu ni muhuni wa kupuuzwa na hana tone lolote lile la uadilifu.

Swali la kujiuliza hizi fedha zote anazotumia kuhonga vimada wake, kuhonga wajumbe wa vikao anazitolea wapi? Kama amekopa, atarudishaje? Kwa sababu hauwezi kumnunua mjumbe bila ya yeye Sitta kununuliwa!!

Sitta anajinasibu uadilifu wa kutokuwa fisadi wakati uhalisia wake ana punje za ufisadi mdomoni. Matendo yake yanaonyesha ni agent wa ufisadi nchini aliyenunuliwa ili kuiuza nchi mikononi mwa matapeli, wanyonyaji na wahujumu uchumi.

Tuwe macho na Sitta, wakala wa ufisadi nchini.
Mkuu you are flogging a dead horse!!!
 
Mbweni nimewahi kwenda hakuna jengo la namna hiyo weka picha.

Hilo jengo lipo na mimi ndio niko kwenye sekta ya ujenzi kwa hiyo najua na ukitaka nifunue majengo ya viongozi naweza au kwa kidokezo je!unajua kama waziri wa mambo ya ndani aliepita ana jengo la floor 4 mikocheni?
 
Sita si mwadilifu, hana usafi wowote, tope atakalo Zama pindi ushahidi utakapo wekwa hatatoka. Ni swala la muda tuu.
Team Membe haijaamua kumshughulikia pindi watakapo muangaza hamtaamini kama ni Sita huyu mnaemjua.
 
Ukoo wa panya....,........ndani ya ccm Hamna msafi ika wanatofautiana tu viwango vya uchafu rushwa ufisadi.
cc: yusuf makamba
 
Sitta hovyo hata mabadiliko alofanya TPA nia yake si njema kamtoa Kipande kwa kuwa mgumu kumkatia,badala yake kamuweka Awadh MASAWE ili amtumie atakavyo na tayari MASAWE ameanza kulalamika usumbufu wa Sitta na naibu wake Tizeba kila kukicha wanataka awapelekee pesa
 
Nawatahadharisha bodi ya TPA msipokuwa makini Sitta na mwanae Ben watageuza hapo ni shamba la bibi.
 
Mbunge wa Urambo, Samwel Sitta almaarufu kama "Mzee wa Viwango na kasi" kama anavyojiita. Mara zote Sitta ambaye aliwahi kuwa spika wa Bunge hupenda kuzungumzia masuala ya ufisadi ili kujiosha na kujipambambanua uadilifu wake.

Siku zote maneno ya Sitta hayaendani na matendo yake. Anajipambanua kupinga ufisadi wakati ana punje za ufisadi mdomoni mwake.

Twende taratibu hapa kwa kuweka kumbukumbu sawa.

Wakati akiwa Spika alikuwa akimtumia msaidizi wake kuchota pesa lukuki kwa kisingizio cha safari za ndani na nje ya nchi. Mathalani amekuwa akichukua shilingi milioni tano (5,000,000/-) kwa safari za ndani; na kuchukua jumla ya Tsh. milioni kumi na tano (15,000,000/-) kwa safari za nje. Amekuwa akichukua pesa hizo pasipo kuleta marejesho ya risiti za matumizi ya fedha hizo. Huu si ufisadi jamani? Uadilifu wa matumizi ya pesa za umma anaojitapa nao Sitta upo wapi hapa?

Ni Sitta huyu huyu amekuwa akipeleka risiti feki za matibabu ya afya yake ambapo kwa kila wiki alikuwa akichota milioni mbili (2,000,000/-) na ilifika kipindi alikuwa akinunua kidonge kimoja cha panadol kwa Tsh. milioni moja. Huu si ufisadi jamani?

Lakini ufisadi mkubwa wa Samwel sitta ni kutumia fedha za serikali vibaya kwa kujenga ofisi ya speaker jimboni kwake urambo akidhani atakuwa spika maisha sasa nani anakwenda kutumia ofisi hiyo?

Ikumbukwe Sitta aling’ang’ania utukufu wa kujengewa nyumba ya kifahari ya takribani milioni 500 iliyojaa fenicha (samani) za gharama kubwa si chini ya
million 150 tena katika jimbo lake. Huu ni ufisadi uliovuka viwango na kasi kufanywa na Sitta.

Ni Sitta huyu huyu ambaye mpaka sasa ameikataa nyumba ya serikali na kuamua kwenda kuishi Masaki mtaa wa Chole road. Kwa wale wasiojua ile nyumba ulipiwa na ofisi ya Mbunge kwa mwezi usd 15,000 (takribani milioni 30) kwa mwezi wakati ile nyumba hati yake imeandikwa ni mali ya Mke wake Magreth Sitta. Huu ni mwendelezo wa ufisadi unaofanywa na Sitta.

Bado nakupa matukio ya kifisadi ya Sitta. Ni Sitta huyu huyu anayejifanya malaika amezunguka nchi nzima akihonga wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM kiasi cha shilingi laki mbili (200000/-) Nchi nzima. Usafi wa Sitta uko wapi hapa?

Pia ikumbukwe mwaka 2010 alimshauri mke wake kuhonga simu kwa kila mpiga kura Tabora zikiwa ndani zimewekwa fedha ili achaguliwe ubunge. Sitta huyu ni muhuni wa kupuuzwa na hana tone lolote lile la uadilifu.

Swali la kujiuliza hizi fedha zote anazotumia kuhonga vimada wake, kuhonga wajumbe wa vikao anazitolea wapi? Kama amekopa, atarudishaje? Kwa sababu hauwezi kumnunua mjumbe bila ya yeye Sitta kununuliwa!!

Sitta anajinasibu uadilifu wa kutokuwa fisadi wakati uhalisia wake ana punje za ufisadi mdomoni. Matendo yake yanaonyesha ni agent wa ufisadi nchini aliyenunuliwa ili kuiuza nchi mikononi mwa matapeli, wanyonyaji na wahujumu uchumi.

Tuwe macho na Sitta, wakala wa ufisadi nchini.

Tokomeza mkoloni mweusi MaCCM na Mawakala wake wote ACT.

Loading October...
 
Usitake kuwa mkufunzi wa watu kutoa mawazo yao. Mawazo haya ni ya Jakibinda, wewe unadai ushahindi ni mahakama. Ninavyojua ushahidi unahitajika mahakamani, hapa ni mtandao wa kijamii watu hutoa mawazo yao 'where we dare to talk openly. Kama wewe unao ushahidi kuwa haya yanayosemwa dhidi ya 6 sio kweli, yatoe hapa. ie falsify it siyo kuandika kiswanglish hapa bila hoja
Mkuu jakibinda, inaonekana una chuki binafs na Mr 6 vinginevyo umetumwa na maadau Wa 6 coz uongo ni mwingi kuliko ukweli. Umeongozwa na kuchochewa na chuki binafs ktk kuandka thread hii maana accusations nyingi hazina ushahidi. Its just a guess work or ur personal opinion not based on research. Nije kuzungumzia accusations 1. Issue ya safari za speaker kuna rates zao, ungeonyesha official rates/per diem Vs alichokuwa akichukua yeye. Sio kulalamika bila facts. Wewe ungekuwa Speaker ungekuwa unachukua ngapi? Una uhakika hakuwa anarudisha/kujaza risiti/remittance? Plse tuaminishe hapa sio maneno matupu ambayo hayavunji Hata mfupa.

2. Kwa issue ya matibabu, panado 1M? Do you have proof on that? Una bahati sheria ya makosa mtandaoni haijaanza kufanya kazi. Ungekuwa mhanga unless uprove beyond reasobale doubts. We assume that ur a great thinker.
3.issue ya kujenga ofisi ya speaker jimboni upo sahihi. Hapo Mr 6 aliingia choo cha kike kama siyo cha jinsia mbili.
4.issue ya kuhonga jimboni ili achaguliwe ni ufisadi. Even though try to have some evidence on it.
5. Lastly, kuhusu nyumba ya kuishi, kila mmoja ana hadhi yake kama kiongozi Wa serikali. Kama alidai nyumba asiyostahili wasingempa. Kama walimpa, it means ni stahili yake. Period.
Ushauri kwako: Katika uandishi wako, epuka kuwa moved na hisia zako juu ya subject. Be neutral and full of research data/evidence. Otherwise THINK as a great thinker, judge as a great judge.
 
Kuna jumba la frool 3 liko mbweni huwezi amini kama ni la sitta alafu anasema ni mwadilifu mmmh

Mjengo_Wa_Sitta.jpg
 
Back
Top Bottom