Nashangaa serikali inasuburi nini kuunda tume huru kuchunguza ufisadi wa udom. Ufisadi uliopo palle ni wa kutisha uongozi wa chuo Chini ya SHABAN MLACHA na MHASIBU WA CHUO HICHO ulitumia upya wa chuo hicho na ugeni wa wahadhiri wengi ambao asilimia kubwa walikua wanaingia kazini katika taasisi kubwa kwa mara ya kwanza kufanya ufisadi huo lakini baada ya miaka mitatu wahadhiri na wanafunzi wamepata experience. Ile dhana ya UDOM kutatua matatizo kwa njia ya diplomasia (mazungumzo) imepitwa na wakati chuoni hapo. Diplomasia imeshindwa kuzaa matunda chuoni hapo na sasa ni mwendo wa migomo tu. CHEO NI DHAMANA.
mijitu mingine bwana imekalia walimchangia mkullu walimchangia mkullu wakati pessa walitoa wana ccm wenyewe na wakairudisha ccm ili wajinga waamini wajinga endeleeni kuamini kuwa udom walichangia fomu, endeleeni kuamini udom ni chuo cha ccm kwani wengine hamuambiliki
mijitu mingine bwana imekalia walimchangia mkullu walimchangia mkullu wakati pessa walitoa wana ccm wenyewe na wakairudisha ccm ili wajinga waamini wajinga endeleeni kuamini kuwa udom walichangia fomu, endeleeni kuamini udom ni chuo cha ccm kwani wengine hamuambiliki
Udom cjui vp? Jana wanakaa na kumshangilia wanayemuita mtoto wa mkulima, ambaye ni mmoja wa wakurugenz wa Sumry, badala ya kushangilia matokeo wao wanashangilia 2kio. Hakika pinda kawapiga kokoto la macho, yule ni mzee wa kulalamika 2 kama hapa JF.
mijitu mingine bwana imekalia walimchangia mkullu walimchangia mkullu wakati pessa walitoa wana ccm wenyewe na wakairudisha ccm ili wajinga waamini wajinga endeleeni kuamini kuwa udom walichangia fomu, endeleeni kuamini udom ni chuo cha ccm kwani wengine hamuambiliki
unalia nini?we unaijua hstoria ya jengo la CHMWAGA,kumchangia mlimchangia,hko chuo ni cha csiem na ilo eneo ni lao,ndo maana unaona jk ana uwezo wa kuja hapo kila wakat kama anavoingia magogoni,waliowekwa hapo wamepewa fadhla ndo maana wana kiburi,ndo maana chochote mtakachokifanya hakieleweki,MLIBEBA MABANGO,MKACHANGA PESA NA PIA MKADANGANYWA KUWA MTAPEWA MIKOPO BILA UTATA,KIKO WAPI,MMEANGUKA MAKALIO YAMEKALIA TOPE,